Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Mdeni ni mnethelandiJe ni kwamba wadeni wanapata notification kwamba ndege ya Tz iko hapa, au anajua aje? Maana hatuna safari za huko awe ametegesha mahsusi kuisubiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdeni ni mnethelandiJe ni kwamba wadeni wanapata notification kwamba ndege ya Tz iko hapa, au anajua aje? Maana hatuna safari za huko awe ametegesha mahsusi kuisubiri!
Inaingia ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali sio individual lawyer Bali inakuwa hiyo pannel ndio ilitumwa kwenye majadiliano ku seal procedures za kisheria wakati waliotoa saini awali Ni wizara nyingine..Mwanasheria gani aliingia Mkataba na hicho kiwanda!? Wekeni majina yao ili tuwajuwe wasomi wetu waliotuingiza King!!
Inaweza ikataifishwa na deni bado ukawa unadaiwa vile vile! Kwani hujaona Bank wanauza Nyumba yako na Deni lingine unaambiwa bado wadaiwa!!!Ila hata hivyo, ni bora mara mia imepelekwa huko ili ilipe deni, kuliko kuendelea kuimiliki. Haya madege ni hasara kuliko faida
Kwahiyo wamwachie tu hilo dege maana deni no $160 miliioni na mdeni anadai $160+ millionBaada ya kuliona dude litatua kiblah, ndio wakaanza harakati za kudai deni lao ama kukumbushia.. Perfectly timed.. Siku 90 ni kama vile walipewa muda wa kisheria ku clear deni
Ishu ya kuwa grounded muda wote huo ni mchongo na hata kama tukifanikiwa kulipa deni kuna port charges za grounded feel, hilo dege sujui kama litapona na mshale upi
Mambo Kama haya ndio Rais anatakiwa kuwa Mkali japo kwa kauli ili kukemea lakini akijifanya eti Ni makosa ya zamani kwa hiyo anaogopa kuwaudhi wabia wa Maendeleo Ni uswazwa.Aisee inaonyesha pana mchezo unachezwa hapa ila ipo siku vitu vitakuwa wazi ndege kuwa inapita Airport fulani ya Nchi fulani Mahakama ipate taarifa kwa wakati kabisa ingawaje dawa ya deni kulipa ila hii miguu tunayoletewa ni ya kizamani sana...
Huyu hawezi kukemea. Si alisema wanasheria wetu hawajui kiingereza ndio maama wakienda huko wanashindwa kesiMambo Kama haya ndio Rais anatakiwa kuwa Mkali japo kwa kauli ili kukemea lakini akijifanya eti Ni makosa ya zamani kwa hiyo anaogopa kuwaudhi wabia wa Maendeleo Ni uswazwa.
Michezo Kama hii unaweza endelea kwa sababu Kuna wanufaika wanatumia udhaifu wa kisheria au wataalamu wetu huku ndani kujipatia Pesa yaani Ni utapeli wa kimataifa.
Bila Shaka,dawa ya Deni Ni kulipa Ila huu usnitch haukubaliki na hii Ni inside job yaani mdeni anakuwa na mawakala wake humu humu Nchini..Kuna mtu katusnich kwa mdeni wetu ili apate cha juu tukilipa.
Yaleyale ya deni la Mkulima.
Kwa kesi hii wala.hata sio ya kingereza Ni usaliti tuu wa watu wetu na wanaweza kutafutwaHuyu hawezi kukemea. Si alisema wanasheria wetu hawajui kiingereza ndio maama wakienda huko wanashindwa kesi
Sasa wakuwatafuta ndio hayupo.Kwa kesi hii wala.hata sio ya kingereza Ni usaliti tuu wa watu wetu na wanaweza kutafutwa
No nataka kujua kipindi hicho kiwanda Cha sukuri tunaingia nacho Mkataba,ni Nani alikua Mwanasheria Mkuu wa Serekali!? Je ni Judge Werema!!??Inaingia ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali sio individual lawyer Bali inakuwa hiyo pannel ndio ilitumwa kwenye majadiliano ku seal procedures za kisheria wakati waliotoa saini awali Ni wizara nyingine..
Kama Ni kabla ya 2015 bila Shaka atakuwa Ni yeyeNo nataka kujua kipindi hicho kiwanda Cha sukuri tunaingia nacho Mkataba,ni Nani alikua Mwanasheria Mkuu wa Serekali!? Je ni Judge Werema!!??
Ukichunguza kwa haraka haraka unakuta Ni kamchezo tuu kanaratibiwa na Serikali Kama malipo ya symbion yalivyofanywa..Sasa wakuwatafuta ndio hayupo.
Walianza kutudanganta kuwa ndege zitapakiwa kwa sabu huko wanakofanyia service spea hamba mara vuu dege linapelekwa Netherlands.
Umasikini kweli ni adui wa taifa hili.Connection.. Nani hapendi ndururu?
Hatuwezi ingia barabarani tukaidai?Ukichunguza kwa haraka haraka unakuta Ni kamchezo tuu kanaratibiwa na Serikali Kama malipo ya symbion yalivyofanywa..
Hivi tunafanyaje kupata Katiba mpya maana hii michezo ya kimafia kiufupi inawanufaisha CCM huu ndio ukweli.
Ilienda kuchukua PhD ya Mtu ya Utu na Huruma.Ukisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.
Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
😂😂😂😂Ilienda kuchukua PhD ya Mtu ya Utu na Huruma.
Kwa mujibu wa Jiwe, ndege moja alinunua kwa bilion 400. Deni la huyo Mswid ni bilion 380. Kwa hiyo kuna kaziada ka bilion 20Inaweza ikataifishwa na deni bado ukawa unadaiwa vile vile! Kwani hujaona Bank wanauza Nyumba yako na Deni lingine unaambiwa bado wadaiwa!!!
Again huu ni uzuzu at its best ,yaani ndege izuiliwe just for fun!,chanzo cha deni piga hodi pale magogoni au Lumumba wanajua, maana wanaendesha nchi with pure impunity, hapo SA president CR amekalia chupa wakati yeye ni victim!,fedha iliibiwa kutoka kwake sio mijizi tuliyokua nayo yanayoibia wananchiChanzo Cha deni unakifahamu?