Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Justification ni kwamba ilikuwa inaenda service, na ikatua Netherlands kwa ajili ya kuongeza wese, lakini ikashindwa kuondoka kwa wakati mdeni akaiotea
Kwani mtani hii ndege si walisema hitilafu ni ya kwenye Engine? Sasa hawakuogopa kuirusha isije ikadumbukia baharini huko?
 
Justification ni kwamba ilikuwa inaenda service, na ikatua Netherlands kwa ajili ya kuongeza wese, lakini ikashindwa kuondoka kwa wakati mdeni akaiotea
Kwani mdeni alijuaje Ndege inasafiri na itatua Netherland? Wacha Mama aendelee kuwalea wezi Hao hao watamgeuka
 
Piga machawa hao nchi imechoooka watu mnasifiana tu kuambiana ukweli hamna , mambo ya maana kama haya mtaendelea kupigwa tu, na yote haya alisababisha yule kiongozi wa malaika kule kitovuni mwendazake
 
Kwani mdeni alijuaje Ndege inasafiri na itatua Netherland? Wacha Mama aendelee kuwalea wezi Hao hao watamgeuka
Mkuu technology imekua.. Ukiwa unajua number za ndege (identification mfano ATC 110,- A 220nk) unajua mahali ilipo kwa flight path au hata google.. Utajua ipo imepaki au hewani..
Kama mdai anafuatilia ndege zetu anajua ndege hii sasa hivi ipo hapa
 
Justification ni kwamba ilikuwa inaenda service, na ikatua Netherlands kwa ajili ya kuongeza wese, lakini ikashindwa kuondoka kwa wakati mdeni akaiotea
Mdai ni kikundi kidogo cha watu lakini walikuwa na wapashaji wao waliojua ratiba ya ndege zetu.JInakuwaje serikali haikuwa na tetesi yoyote ya kuwepo udowezi huo.Jee hatuna balozi au mwambata wake huko.Kwa sababu kama tulikuwa na sababu za kutosha kuvunja mkataba na hiyo kampuni ya kulima miwa ilikuwa tuendelee kuwapiga chenga mpaka mwisho.
 
Pana jamaa alinunua BMW ilipokua mbovu na ilikua ishamaliza muda wa kutengenezwa na kampuni tuliwasiliana nae nikaenda BMW wakampa gharama akaita mafundi wawili ilikua 2018 BMW X 6 aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo...
Eti wanasema wanapeleka kwa manufacturer Kama alivyo kubaliaana wakat wa mauziano kuwa service itakuja fanyika kwa manufacturer na siyo manufacturer Kuja kufata ndege zake na kutengeneza

Hiki kitu Cha ovyo na ajabu mno

Billion 360 jmn ilipwe kwa makosa ya wengine walizofanya huku wakijuwa kuwani kosa jmn hi nchi by 2025 mam atupishe Kwanzaa dah nimekosa posi
 
Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!
Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kifupi CCM imeendelea kulitia hasara taifa.
 
Waichukue tuu ndege zenyewe mbayaaa..alisikika jobless mmoja hivi
 
Kama Ni kabla ya 2015 bila Shaka atakuwa Ni yeye
Judge Werema kipindi kile baada ya kupigwa chini na Magu,nilikutana nae Bank moja pale Posta VIP lounge anachukuwa Mzigo cashi wakutisha,alafu Jamaa Yuko serious na Mzigo wake! Wanasheria wengine ni wezi sana! Tunaomba kwa Mungu Karma ifanye kazi yake kwa kila fisadi!!!!
 
ifike wakati mikataba inayoingia Serikali yetu wananchi tushirikishwe moja kwa moja kwa kuiweka wazi nasi kutoa maon yetu. kama walivyofanya ktk rasimu ya Katiba. kila mkataba nakala ziwekwe wazi tuikague kwanza. vinginevyo hawa watu wasiozidi hata 500 watatuingiza jahanamu watu zaidi ya milion 60
Hawawezi Fanya hivyo
 
Kwa mujibu wa Jiwe, ndege moja alinunua kwa bilion 400. Deni la huyo Mswid ni bilion 380. Kwa hiyo kuna kaziada ka bilion 20
Storage charge unaijuwa wwe!? Au unazani hiyo ndege unaliziwa bure hapo!? Huko CCM ukilaza gari kwa siku tu unalipia,liwe zima au bovu,Malipo yako pale pale!!!
 
Huu uzi ulishaanzishwa humu ndani jana utafute ujue ilifikaje
 
Matapeli walioko bongo hapa hapa wanaotaka Pesa bila Shaka ndio watakuwa walimtonya..

Hapa kunatakiwa maelezo ya wahusika,pamoja na kwamba dawa ya Deni Ni kulipa badala ya kuvizia Ila Kuna kamchongo, maza anatakiwa kuwa Mkali..

Unaweza fanya Mambo makubwa na mazuri Ila vitu vidogo Kama hivi ambavyo vinaashiria Mchongo vikaharibu kila kitu.
Maza gani? Yupi? Unajuaje na yeye yupo kwenye huo mchongo?
 
Mambo Kama haya ndio Rais anatakiwa kuwa Mkali japo kwa kauli ili kukemea lakini akijifanya eti Ni makosa ya zamani kwa hiyo anaogopa kuwaudhi wabia wa Maendeleo Ni uswazwa.

Michezo Kama hii unaweza endelea kwa sababu Kuna wanufaika wanatumia udhaifu wa kisheria au wataalamu wetu huku ndani kujipatia Pesa yaani Ni utapeli wa kimataifa.
Rais wa Kenya ama wa rwanda?

UNAJUAJE huyo Rais wako nae yupo kwenye mchongo huo.
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?
1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Idara ya usalama wa taifa imekosa watumishi wazalendo na wenye weledi. Wengi wanaajiriwa kwa vimemo kutoka kwa viongozi wa CCM.
CCM inaozesha nchi
 
Pana jamaa alinunua BMW ilipokua mbovu na ilikua ishamaliza muda wa kutengenezwa na kampuni tuliwasiliana nae nikaenda BMW wakampa gharama akaita mafundi wawili ilikua 2018 BMW X 6 aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo...
Ndege mbovu ina uwezo wa kuround duniani..? Inaenda service kweli nje...gharama za kumleta fundi na vifaa vyake na kusafirisha ndege ipi kubwa?
 
Back
Top Bottom