Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Judge Werema kipindi kile baada ya kupigwa chini na Magu,nilikutana nae Bank moja pale Posta VIP lounge anachukuwa Mzigo cashi wakutisha,alafu Jamaa Yuko serious na Mzigo wake! Wanasheria wengine ni wezi sana! Tunaomba kwa Mungu Karma ifanye kazi yake kwa kila fisadi!!!!
Jmn kwani ulimuona na sandarusi au na bahasha kubwa tu ya kubeba milioni 10 at once

Mm nadhani Ni mihemko tu ila hata milionin Mia kwa mtu wa hadhi yake ni sawa tu mkuu

Tujadili mambo ya msingi
 
Juzi ndege tundu lisu so alisemaga NI used,panga boy,au? Mimi nafikiri tuachane nazo mkuu zisiku nyime usingizi
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Duh...!.
P
 
Hili naamini wahusika wanatakiwa kulitolea ufafanuzi, japo kwangu naona inawezekana hiyo ndege ilikwenda kwa matengenezo ndio ikakamatwa.
 
Mmh labda ila [emoji16]
Kama vile kuna mawasiliano kati ya mdai na baadhi ya watumishi kipande hiyo
Watu washakula hela ya Christmas na kujenga kigorofa kimoja kimoja ama viwili viwili kwa kupeleka dege. Watu shenzi. Hii ndege imefikaje Netherlands!!??
nani ameiruhusu waziri husika awajibishwe.
 
Pana jamaa alinunua BMW ilipokua mbovu na ilikua ishamaliza muda wa kutengenezwa na kampuni tuliwasiliana nae nikaenda BMW wakampa gharama akaita mafundi wawili ilikua 2018 BMW X 6 aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo...
Watakuambia eti tools za ndege ni have kubeba,bora uje karakana yao!!
 
Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!
Wwe aamkaa kutoka usingizini! Magufuli aliaamua kusanua kombe kila Mtu aone jinsi Nchi ilivyo uuzwa kupitia mikataba ya kiunyonyaji tena ya muda mrefu! Swali la kujiuuliza Watanzania tunachomowaji Kama Nchi kutoka kwenye hiyo mikataba ya kifasadi!? Au tupige kimya waeendelee kutunyonya pamoja na rasilimali zetu!!!!!?
 
Nafikiri haliwezekani kwa mujibu wao huwa wanasema kuwa wadau au wateja husika hawapendi mkataba kuwa wazi kwa sababu za kibiashara.

Labda pawepo na tume maalum au kitengo maalum kama CAG kuipitia mikataba kabla ya kusainiwa
Hicho kitengo maalum nacho kitanunuliwa tu! Watu wako na shida ya pesa!!!
 
Tuliambiwa nchi itauzwa tukabaki tunachkeana haya sasa ndo matokeo yake ..tunaupiga mwingi, na eti, JPM ameleta hasara.
Wengi wetu tulidhani Nchi ikishauzwa tutaambiwa tufunge vilago tuondoke, kumbe Ndugai alimaanisha njia zote za Uchumi zitashikiliwa na watu wachache ambao ndio watakua wanatuamulia jinsi ya kuendesha maisha yetu..na si ajabu ata viongozi wakuu na WA kata watatuchagulia wenyewe.... Ndugai aitwe kwenye national TV atueleze vizuri, CCM walimalizana Naye kama Chama, Watanzania kama raia tumbane Ndugai atusaidie
 
Wengi wetu tulidhani Nchi ikishauzwa tutaambiwa tufunge vilago tuondoke, kumbe Ndugai alimaanisha njia zote za Uchumi zitashikiliwa na watu wachache ambao ndio watakua wanatuamulia jinsi ya kuendesha maisha yetu..na si ajabu ata viongozi wakuu na WA kata watatuchagulia wenyewe.... Ndugai aitwe kwenye national TV atueleze vizuri, CCM walimalizana Naye kama Chama, Watanzania kama raia tumbane Ndugai atusaidie
Ndugai alishamaliza kazi kwenu siyo kila kitu mnataka kutafuniwa jamaa yangu, tuamke watanzania wezi wanatumaliza
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom