Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Tuna deal na matokeo ya wizi wa kura.
  1. Mwenye uchungu na Tanzania havunji mikataba ya wawekezaji hovyo
  2. Mwenye uchungu na nchi hachafui watangulizi wala wafu
  3. Mwenye uchungu na nchi halaumu laumu bali anatatua changamoto
  4. Mwenye uchungu na nchi hakubali kuingia kwenye uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi
  5. Mwenye uchungu na nchi hasaliti mamlaka ya uteuzi

Watanzania tuache lawama, hizi ni sababu tosha kuiweka CCM pembeni 2025
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Mkuu lala tu, yaani unakosa usingizi kwa ajili ATC, mimi juzi nilikosa usingizi baada ya kuona nimesota darasani miaka kadhaa na kulipa ada kwa tabu halafu anakuja mtu anapewa PhD kirahisi na anateka tukio zima huku sisi tumebaki kama vile wageni waalikwa wakati shughuli ilikua yetu

Anyway ngoja nikae kimya maana naweza shusha tusi hapa nikajikuta mabwepande
 
Mkuu lala tu, yaani unakosa usingizi kwa ajili ATC, mimi juzi nilikosa usingizi baada ya kuona nimesota darasani miaka kadhaa na kulipa ada kwa tabu halafu anakuja mtu anapewa PhD kirahisi na anateka tukio zima huku sisi tumebaki kama vile wageni waalikwa wakati shughuli ilikua yetu

Anyway ngoja nikae kimya maana naweza shusha tusi hapa nikajikuta mabwepande

Hahaha jana nimehoji kitu kama hiko. Ukitaka kupata phd kiragisi, ingia kwenye siasa.
Lakini hii ni indication kuwa elimi yetu is diluted na siasa ndio maana inachukuliwa powa
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Nanusa mkono wa Muajemi katika hii hujuma,sijui kwanini.
 
Watakuambia eti tools za ndege ni have kubeba,bora uje karakana yao!!
Waongo hao nilikua Debeers Maline SA Oil Rig zilipokua zinaharibika au meli za uvuvi nyingi wataalamu walikua wanakuja unakuta Eng wa umeme anatoka Japan wa kifaa kingine anatoka Brasil ni Contract za muda mrefu pia niliwahi beba box Oliver Tambo International Airport kitengo cha Safety niliona baadhi ya ndege zikiwa na fault pale mafundi ndio walikua wanapanda ndege kuja kuirekebisha sio ndege mbovu ifate mafundi hii nimeiona Tanzania pana muda ndege masaa ya Service yamefika mtalazimisha kuipeleka huko nje huo ni uongo ni vile hawa wahuni hawataki kushaurika wanataka kuendesha mradi mkubwa wa Ndege kama Ma Bus ya mwendokasi...
 
Mkuu lala tu, yaani unakosa usingizi kwa ajili ATC, mimi juzi nilikosa usingizi baada ya kuona nimesota darasani miaka kadhaa na kulipa ada kwa tabu halafu anakuja mtu anapewa PhD kirahisi na anateka tukio zima huku sisi tumebaki kama vile wageni waalikwa wakati shughuli ilikua yetu

Anyway ngoja nikae kimya maana naweza shusha tusi hapa nikajikuta mabwepande
Yule aliyekuwa anamvalisha kofi ya PhD ndiye mtoa maamuzi serikalini na popote pale.
Hii nchi itakuwa na utawala kama wa nchi ya ANGOLA
 
Ndege mbovu ina uwezo wa kuround duniani..? Inaenda service kweli nje...gharama za kumleta fundi na vifaa vyake na kusafirisha ndege ipi kubwa?
Ndege mbovu inawezaje kwenda nje muda mwingine umiza kichwa chako sio unauliza maswali ambayo majibu yake unayo...
 
Mkuu lala tu, yaani unakosa usingizi kwa ajili ATC, mimi juzi nilikosa usingizi baada ya kuona nimesota darasani miaka kadhaa na kulipa ada kwa tabu halafu anakuja mtu anapewa PhD kirahisi na anateka tukio zima huku sisi tumebaki kama vile wageni waalikwa wakati shughuli ilikua yetu

Anyway ngoja nikae kimya maana naweza shusha tusi hapa nikajikuta mabwepande
Hongera sana Daktari wa ukweliukweli. Mungu aendelee kukuinua kika uchao. Fadhili zake nyingi zisikupungukie. Ailinde afya yako na wale wanaokuzunguka, akuepushe na kila hila za adui. Alinde kipato chako na vyanzo vyako vyote vya mapato. Ailinde kesho yako hata na milele.
 
Ukisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.

Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
We mzalendo ishauri serikali yako ilipe deni na si kujiuliza iliendaje huko, si tunakatwa tozo
 
Judge Werema kipindi kile baada ya kupigwa chini na Magu,nilikutana nae Bank moja pale Posta VIP lounge anachukuwa Mzigo cashi wakutisha,alafu Jamaa Yuko serious na Mzigo wake! Wanasheria wengine ni wezi sana! Tunaomba kwa Mungu Karma ifanye kazi yake kwa kila fisadi!!!!
Hawa watu wana hela nyingi sana

Wanapiga vya kutosha

Ova
 
Back
Top Bottom