Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Tuna deal na matokeo ya wizi wa kura.
Watanzania tuache lawama, hizi ni sababu tosha kuiweka CCM pembeni 2025
- Mwenye uchungu na Tanzania havunji mikataba ya wawekezaji hovyo
- Mwenye uchungu na nchi hachafui watangulizi wala wafu
- Mwenye uchungu na nchi halaumu laumu bali anatatua changamoto
- Mwenye uchungu na nchi hakubali kuingia kwenye uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi
- Mwenye uchungu na nchi hasaliti mamlaka ya uteuzi
Watanzania tuache lawama, hizi ni sababu tosha kuiweka CCM pembeni 2025