Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Again huu ni uzuzu at its best ,yaani ndege izuiliwe just for fun!,chanzo cha deni piga hodi pale magogoni au Lumumba wanajua, maana wanaendesha nchi with pure impunity, hapo SA president CR amekalia chupa wakati yeye ni victim!,fedha iliibiwa kutoka kwake sio mijizi tuliyokua nayo yanayoibia wananchi
Mkuu hela ni ya wizi ilienda kufichwa shambani kwake watu wakachungulia fursa wakaaiba wakijua hawezi kuongea kitu ndio maana wale wezi walitekwa na kukalishwa kimya ila kule watu hawakai kimya HAWKS ndio kazi yao hiyo wakifanya uchunguzi watakuja na majibu na uchunguzi unatakiwa ufanyike na Rais asiwe madarakani...
 
Huyo jamaa si wamwachie tu hiyo ndege na deni liwe limeisha!
 
Pana jamaa alinunua BMW ikiwa aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo..
Naunga mkono hoja yk mkuu!
 
Again huu ni uzuzu at its best ,yaani ndege izuiliwe just for fun!,chanzo cha deni piga hodi pale magogoni au Lumumba wanajua, maana wanaendesha nchi with pure impunity, hapo SA president CR amekalia chupa wakati yeye ni victim!,fedha iliibiwa kutoka kwake sio mijizi tuliyokua nayo yanayoibia wananchi
Kati ya Mimi na wewe na zuzu? Nimekuuliza chanzo Cha deni unakijua? Huu bdio upumbavu tunaotaka uwatoke mazwazwa kama wewe. Kwa taarifa Yako Hilo deni ni mipabgo ya wapigaji. Stay tuned
 
Ukisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.

Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!
 
Mkuu hela ni ya wizi ilienda kufichwa shambani kwake watu wakachungulia fursa wakaaiba wakijua hawezi kuongea kitu ndio maana wale wezi walitekwa na kukalishwa kimya ila kule watu hawakai kimya HAWKS ndio kazi yao hiyo wakifanya uchunguzi watakuja na majibu na uchunguzi unatakiwa ufanyike na Rais asiwe madarakani...
Jamaa anadai aliuza buffaloes; wafanyakazi wakaweka pesa kwenye sefu ila mmoja akaona haitakuwa salama kwenye sefu akaamua kuipeleka ndani Kwa presda na kuitunza chini ya kochi ambapo ni salama zaidi 😂😂😂😂
 
Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!
Kwa hili napinga; hivi unakua hoyo kampuni iliyokamata ndege ilijiondoa yenyewe kwenye uwekezajji wa kiwanda Cha sukari?
 
Kwa hili napinga; hivi unakua hoyo kampuni iliyokamata ndege ilijiondoa yenyewe kwenye uwekezajji wa kiwanda Cha sukari?
Wajiondoe wenyewe halafu waende mahakamani kudai kuondolewa?! Haya ni mambo ya Magufuli na yapo mengi tu yanajitokeza taratibu, tutaona mengi.
 
Wajiondoe wenyewe halafu waende mahakamani kudai kuondolewa?! Haya ni mambo ya Magufuli na yapo mengi tu yanajitokeza taratibu, tutaona mengi.
Shida ya waimba mapambio ndio hii
 
Jamaa anadai aliuza buffaloes; wafanyakazi wakaweka pesa kwenye sefu ila mmoja akaona haitakuwa salama kwenye sefu akaamua kuipeleka ndani Kwa presda na kuitunza chini ya kochi ambapo ni salama zaidi 😂😂😂😂
Biashara yeyote inatakiwa alipe kodi na malipo makubwa yanafanyika bank yaani kuanzia laki moja rand ni ishu ya bank hiyo na SARS wapate kodi yao nachokwambia hapo pana madudu mengi kuliko unavyodhania sisi tuendelee na Kalyinda yetu Hawks watakuja na majibu sahihi karibuni tuu..
 
ifike wakati mikataba inayoingia Serikali yetu wananchi tushirikishwe moja kwa moja kwa kuiweka wazi nasi kutoa maon yetu. kama walivyofanya ktk rasimu ya Katiba. kila mkataba nakala ziwekwe wazi tuikague kwanza. vinginevyo hawa watu wasiozidi hata 500 watatuingiza jahanamu watu zaidi ya milion 60
Nafikiri haliwezekani kwa mujibu wao huwa wanasema kuwa wadau au wateja husika hawapendi mkataba kuwa wazi kwa sababu za kibiashara.

Labda pawepo na tume maalum au kitengo maalum kama CAG kuipitia mikataba kabla ya kusainiwa
 
Wakulima wamechachamaa ,manzo mkulima styne sasa mkulima wa bagamoyo.
 
Kwa dhamana kubwa ya Taifa kama hiyo kushikiliwa nadhania ni aibu kubwa sana walimu wetu walio wafundisha Mawaziri wetu maana waliwafundisha kukariri tu sio kutafuta suluhisho la kuliokoa Taifa. Waziri mwenye dhemena yupo kimya sasa mali ya Taifa inakamatwa hasemi lolote kwa Taifa na tuliambiwa Ndege ilinunuliwa kwa kodi zetu.🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Pana jamaa alinunua BMW ilipokua mbovu na ilikua ishamaliza muda wa kutengenezwa na kampuni tuliwasiliana nae nikaenda BMW wakampa gharama akaita mafundi wawili ilikua 2018 BMW X 6 aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo...
Mi nimekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom