Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Kwa hilo,Serikali ya CCM haiwezi kukubali hata siku moja!
 

Makamba na rostam watalinunua shirika
 
Aisee inaonyesha pana mchezo unachezwa hapa ila ipo siku vitu vitakuwa wazi ndege kuwa inapita Airport fulani ya Nchi fulani Mahakama ipate taarifa kwa wakati kabisa ingawaje dawa ya deni kulipa ila hii miguu tunayoletewa ni ya kizamani sana...
 
Wahuni watu washenzi sana dizain walishaongea na mdai. "Tunakuletea ndege uikamate" muhimu pasenti yetu utuwekee kabisa. Inchi ina washenzi sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…