Tumainiandy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 430
- 91
Kuku anaweza kuangua?
Embu jiulize kwanini Mungu alipotaka kuwapa nyama mwana wa Israel kule jangwani hakuwapa kuku au ndege yoyote mwingine ila kware soma kutoka 16:13 tunajua walikula mana na waliletewa kware, kwa uelewa huo mnyama huyu ni muhimu katika afya ya binadamu
kweli kaka nimeona