Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchizi sio mpaka uvue nguo bali hata hivyo ulivyo ni dhahiri kuwa wewe ni chizi. Endelea ivo ivo
Sio world bank au IMF?Mkulima
Vijana hawana ajira
mazao yamekosa masoko
Pembejeo bei ipo juu
Wakulima wa korosho hawajapewa malipo yao
Watu wanatekwa wanauwawa
Democrasia hakuna
Mifuko ya sument bei ipo juu
mwaka wa nne watumishi hawapandishiwi mishahara
Wananchi wanakunywa maji ya madibwi
Biashara zimevunjwa miguu
Viwanda 4000 hewa vimejengwa
Unazani kuna mtu wa kufurahia hizo ndege mtabakia nyinyi wa buku saba kusifia
Boss PseudoDar186 Una Point na Hoja ya kujibiwa iwapo mimi Si Msemaji wa Jamhuri na Serikali wala Ikulu.
Ila najua kuna siku Rais alisema kuna Mambo Tanzania yanachelewesha Maendeleo, Mlolongo wa Hatua.
Kuhusu Jamhuri aka Serikali kumiliki ATCL si kweli, nachojua mimi ni Serikali imeipa pesa na kuliwezesha Shirika kufufuka na kujiendesha. Serikali limeinunulia Ndege Shirika, ni kama Shirika limekopa Serikalini.
Kuhusu usiri wa mapato, mimi si msemaji wake.
Ila hata kama yote hampendi, imefikia kweli hata kuombea mabaya Ndege zetu??? !!! Kuombea Ndege zishikwe kweli??? !!!
Sio world bank au IMF?
Nakuona tayari ushapigia suti yako hapo uwanjani baada ya kubugia kimpumuKilichotakiwa ni tension kwa wananchi na hasa wale Roho Mbaya, wanao tamani kusikia mambo mabaya kwa Taifa
Hata kuigusa hajawahi huyo zuzuInaonyesha haujawahi hata kuikaribia ndege
Kwenye ubora wakoUchizi sio mpaka uvue nguo bali hata hivyo ulivyo ni dhahiri kuwa wewe ni chizi. Endelea ivo ivo
Kwenye ubora wakoView attachment 1245356
Tulia wewe hata mjamzito akikaribia kujifungua hawezi mwambia kila mtu wengine wachawi,vijicho,husda hawakosekani mwacheni Rais afanye yaliyo ndani ya uwezo wake akimaliza miongo yake miwili atakuja mwingine ataendeleza gurudumu tatizo sisi tunajua kulaumu kuliko kupongeza hima tufanye kazi tuijenge nchi yetuIla ujanja ujanja huwa una mwisho wake mkuu!!!