Ndege kubwa ya abiria ya C919 yaanza rasmi kutumika nchini China

True , wachina bado sana kwenye science hiyo
Unaelewa kuhusu bidhaa ambayo ina International Standard?

Hizo ndege zimekubaliwa na viwango vya kimataifa vya usafiri wa anga wa abiria, International Airworthiness Standards

Na ina intellectual property rights kwa taarifa yako

Usifikiri ndege zinaanza tu kubeba abiria bila kukidhi viwango vinavyotakiwa kimataifa. Siku nyingine ficha ujinga wako ukiwa jf
 
Si wanabebana wao Kwa wao, nani anawakataza wakiwa ndani kwao na kiburi walichonacho kumpinga USA
 
Wachina wamekuwa wakitengeneza ndege tangu zamani miaka ya zamani huko 1960's na 1970's

Ila waliwekeza sana kwenye kutengeneza ndege za kivita na sio kwenye ndege za abiria (commercial aircraft)

Sasa wameona fursa hasa soko lao la ndani tu ni 10% ya mauzo ya ndege za abiria duniani na bado kuna soko la nje

Hivyo wameamua sasa kuwekeza kwenye ndege za abiria hivyo shirika la COMAC (Commercial Aircraft Corporation of China) likaanzishwa 2008 kwa lengo moja tu kutengeneza ndege za abiria (commercial aircrafts)

Na wamefanikiwa kutengeneza hiyo ndege C919 na imekidhi viwango vya kimataifa International Airworthness Standard

Sasa ni muda wa COMAC kuingia sokoni kushindana na makampuni makubwa kama BOEING, AIRBUS, BOMBARDIER n.k
 
Sijaona idadi ya abiria kwa ndege hii ila porojo la C919 ndio imetaradad sana
 
We Jamaa kwenye maandiko yako unaandika maneno mengiii!!! yasiyo na faida.. ..lkn ikisumarize habari yako kama hii ilitakiwa uandike mistari isiyozidi 5 tu...
 
Si wanabebana wao Kwa wao, nani anawakataza wakiwa ndani kwao na kiburi walichonacho kumpinga USA
Ficha ujinga ulionawoo jitaidi usome zaidi acha ushabikki wa vijiweni kama watoto wa lapili
 
We Jamaa kwenye maandiko yako unaandika maneno mengiii!!! yasiyo na faida.. ..lkn ikisumarize habari yako kama hii ilitakiwa uandike mistari isiyozidi 5 tu...
Kusumarize Ilo ni jukumu lako msomaji siyo LA muandishi mda mwingine tumia akili Kukosoa jambo
 
Maelezo hayajitoshelezi kabisa. Mara kampuni zingine zilijaribu kutengeneza ndege kubwa bila mafanikio, mara ndege hiyo itakuwa ya tatu kwa ukubwa. Lakini wengi tumejitahidi kusoma hadi mwisho tujue IDADI ya ABIRIA watakaobebwa nalo hilo halipo.
Mi nadhani tumsaidie kujazia nyama mtoa mada. Source: Wikimedia.



C919 Aircraft Characteristics for Airport Planning[111]
Cockpit crew2
Seats158 (2-class) to 174 (1-class HD)
Length38.9 m (127 ft 7 in)
Wingspan35.8 m (117 ft 5 in)
Wing area129.15 m2 (1,390.2 sq ft)
Height11.95 m (39 ft 2 in)
Fuselage height4.166 m (13 ft 8.0 in)
Fuselage width3.96 m (13 ft 0 in)
Maximum payload18,900 kg (41,700 lb)
OEW45,700 kg (100,800 lb)
MTOW78,900 kg (173,900 lb)
Fuel capacity24,917 L (6,582 US gal)
Engines (×2)CFM LEAP-1C
TO/GA Thrust (×2)137.14 kN (30,830 lbf)[112]
Cruise Mach0.785[113][better source needed]
Range5,576 km (3,011 nmi)https://en.m.wikipedia.org/wiki/Comac_C919#cite_note-115


[TR]
[TH]Ceiling[/TH]
[TD]12,100 m (39,700 ft)[113][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Takeoff (MTOW, ISA)[/TH]
[TD]2,125 m (6,972 ft)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Landing (MLW, ISA, Dry)[/TH]
[TD]1,778 m (5,833 ft)







[/TD]
[/TR]
 
Kuna watu hadi leo wamekariri China anatengeneza vitu feki...

Mtu huyo huyo aanatumia mtandao wa simu ambao kwa Tanzania kwa kiwango kikubwa market share imetawaliwa na telecom NE's za Wachina...
Kuna waafrika hadi leo wamekariri kuwa Africans hawawezi kuishi duniani bila kutegemea misaada ya mabeberu, na kuna wengine hawaamini kwamba kuna uwezekano wa kuwa huru KIFRA bila kuwa chawa wa China au Russia au USA.
 
Hizi ndege utawala angani kama Yutong bus.
Watapanda huko wachina wenyewe 🖐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…