Ndege kubwa ya abiria ya C919 yaanza rasmi kutumika nchini China

Boeing and airbus have been around for years, almost all countries in the world using their planes, and you think they will fall easly?
Kama quality ya airbus itakuwa the same kama C919 na cost itakuwa 30% less than that of airbus utakuwa unakichwa kigumu sana kuamin airbus , na boing biashara yao itakuwa stable ,unaona scania Zimeanza kupungua kwemye nchi zetu huoni enzi za akina CAT hipo tena ,
 

“Scania zimepungua kwenye nchi yetu”
Unajua soko kubwa la scania liki wapi?

Aviation industry ni complex, china always wana approach ya low price kwenye project zao. C919 bado ina long way to go, and at the same time mashirika yaliyopo yanaendelea ku inovate, is not kwamba wamelala or they are not aware, dont underestamate them
 
Maandishi mengi alafu hakuna idadi ya abiria inayobeba..
 
Boeing and airbus have been around for years, almost all countries in the world using their planes, and you think they will fall easly?
Wako wapi Blackberry, HTC, Nokia, Philips, Panasonic, Hitachi

Walianza Boeing kabla ya Airbus ila sasa hivi Airbus imeipiku Boeing kwenye mauzo

Miaka 10 ikiyopita hakuna aliyefikiria kuwa Yutong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon zingezipindua Scania Marcopolo, Volvo, Isuzu, Nissan Diesel kwenye sekta ya usafiri wa mabasi hapa Tanzania

Boeing walishuka kimauzo baada ya matatizo ya kiufundi kwenye ndege zao za B737 MAX

Achana na kitu kinaitwa biashara usipokuwa mbunifu unapoteana tu. Biashara ni ups and downs.

Don't underestimate COMAC, C919
 
Sahih
 
Umejaza mavi kichwani...wabongo mnatia kinyaa sana kwenye analysis... mbaya zaidi mnajifanya wajuaji...

Hivi unaweza ifananisha Scania na takataka kama Yutong? Unafikiri hao wafanyabiashara wangepewa same price wachangue wangeenda wapi?
China ni kwaajili yenu maskini na malofa.
 
Kati ya wewe na mzee Abood mwenye Yutong zaidi ya 50 ambaye alianza biashara ya usafiri wa mabasi tangu 1987 akaswitch kutoka Scania Marcopolo kwenda Yutong ni nani maskini na lofa?

Wewe na mzee Shabiby nani maskini aliyeanza biashara ya usafiri wa mabasi tangu miaka ya 90's mwanzoni akaswitch kutoka Scania na Volvo kwenda Yutong?

Hiyo ni mifano michache tu

Usitupigie kelele hapa na vimatusi vyako. Yutong moja ni Tshs milioni 200 hadi 300 unafikiri anayenunua ni masikini?

Keyboard warriors mna kelele sana. Piga picha mtu ana Yutong 50 huyo ni mwenzako? 🤔




Aliyeagiza hizi chuma ni lofa na masikini sio?
 
Kwanza mumshukuru Mchina ndiye aliyezitambulisha Scania hapa Bongo kwa mara ya kwanza, angekuwa na roho mbaya kwa miaka hiyo si angeleta Jiefang tipper kutoka China kwenye huo mradi

 
Alaf unakuta jamaa anaish kwa salary slip ikichelewa kidogo tu ananuna lkn anamletea dhihaka mtu aliyewekeza ktk yutong kadhaa na kuajir watu wengi tu
 
Nimeitoa hii sehemu
The aircraft contains “Honeywell’s (HON) electricity system and landing gear, GE’s (GE) flight recorder, CFM Leap’s engine, Parker Aerospace’s flight control system and fuel system, Rockwell Collins’ weather radar and simulate system, and Michelin’s (MGDDY) tires,” the outlet noted. All are US or European companies.

Hata matairi mchina hajatumia ya china
 
Acha uongo
 

Wewe ndo umejaza mavi, umekariri China anatengeneza vitu feki. China ana quality zote unazohitaji kutokana na Pesa yako mfukoni.
 
China's new homegrown intercontinental jetliner C929 is expected to have 250-350 seats and reach a flight mileage of 12,000 kilometers, said the long-haul passenger aircraft's maker on Sunday, adding that the aircraft is currently in the preliminary design phase.
 
Kweli kabisa kama CAT na mwenzee komotsu wametamba miaka kazi kwenye mining
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…