Mpaka motto wa nchi yenu 'harambee' na wenyewe ni legacy ya wahindi πππππ hivi ninyi mna laana gani?Heheee...mlishindwa kutamka km vile walivyoshindwa kutamka wao..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππππ Ninyi wakenya hampaswi kuwazodoa sababu hata jina Kenya wamelitunga wao, yaani mnatia aibu kutungiwa jina la nchi na wageni, ndio maana ardhi yote yenye rutuba ni mali yao
πππ Mbona kama umepaniq? Tanganyika toka lini yakawa maneno ya kijerumani?Afrika hakuna wa kumcheka mwenzie likija kwa hili la wazungu, maana hata mipaka walichora wao, bila wao hakungekua na Tanganyika, wao ndio waliwapa hilo jina Tanganyika, sema tu limebuniwa kwa kutumia maneno ya Kiswahili Tanga na Nyika, ila wao ndio walisema litumike, wao ndio waliwekeza na kutengeneza kila mlicho nacho, hadi katiba, peza zenu madafu, hamna chochote kilichotokana na nyie wazembe.
Mwarabu pia aliwabaka sana nyie, ikiwemo Dar majina amebuni yeye dar ("house"), and the Arabic es salaam ("of peace")
Leo hii hakuna Mtanganyika mweusi ndani ya matajiri kumi bora walioshikilia uchumi wa Tanzania, wote waarabu na wahindi, bure kabisa.
[emoji38][emoji38][emoji38] Whatever the case lakini hapaitwi carrier cops
Mpaka motto wa nchi yenu 'harambee' na wenyewe ni legacy ya wahindi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hivi ninyi mna laana gani?
Coat of arms yenyewe mmeicopy ya Tanzania [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona kama umepaniq? Tanganyika toka lini yakawa maneno ya kijerumani?
Katiba ya Tanzania imeshabilishwa zaidi ya mara 3,kwa hiyo mpaka leo kumbe bado ni Katiba ya colony la muingereza? Katiba ya kijamaa? Katiba yenye azimio la Arusha? Katiba yenye mambo ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Katiba ya vyama vingi? Acha kujishushia heshima yako finyu ulionayo humu!
Hilo la Dar bado ni petty issue sana sababu pamoja na hivyo bado lina maneno ya kiswahili kama 'salama' huwezi kulinganisha na forceful change ya 'Kirinyaga' mpaka Kenya dah! Parefu hapo
Kwenye matajiri weusi wapo wengi tu, wewe unawaona hao baadhi ya wahindi lakini ni kina Mkapa, Lowassa, Msuya unrecover, kutokana na azimio la Arusha viongozi wa umma hawakutakiwa kuwa wafanyabiashara hivyo kuna baadhi ya matajiri wa kihindi ni waajiriwa tu
Halafu hata Kenya katika matajiri 10 watano ni wahindi.
MidomoMaandalizi kabambe yamepamba moto ili kufanikisha hili tukio la kihistoria, ambapo Mkenya anategemewa kukimbia mbio za masafa marefu kilomita 42 kwa ndani ya masaa mawili, dunia yote inasubiri kwa hamu kuona hilo likitendeka, yupo tayari kudhihirisha kwamba pingamizi kwa binadamu lipo tu kwenye akili zetu ila mwili unaweza kufanya chochote ukidhamiria.
Ameondoka na timu yake kwa usafiri wa ndege ya kifahari iliyoandaliwa kwa ajli yake, kuna tajiri kubwa duniani limewekeza kwa hali na mali kuona jamaa akifanikisha. Hii ni chachu kwenye mawazo na fikra ya mabilioni ya vijana duniani, itawapa wengi hamasa kwamba inawezekana, linawezekana, itawezekana.... cha msingi ni kukomaa tu, ukidhamiria utafanikisha, iwe kwenye biashara, elimu, ujuzi wala chochote kile.....
Dah ila kwa kweli hii noma, nikikumbuka mara kadhaa nimehusika kwenye nusu marathon kilomita chache tu 21km na huwa nachukua zaidi ya hayo masaa mawili, na nikifika nipo hoi natamani nife.
The chartered Gulfstream G280 jet that flew out world marathon record holder Eliud Kipchoge and his pace makers to Austria lands at the Eldoret International Airport last night before it took off to Vienna via Cairo. PHOTO | JARED NYATAYA | NATION MEDIA GROUP
Eliud Kipchoge and his technical staff are expected to land in Vienna Tuesday morning in five-star fashion.
The Olympic marathon champion and world record holder was Monday night treated to the affluence that one of Great Britainβs richest persons, Sir Jim Ratcliffe, is accustomed to.
The efficient Kenya Airport Authority (KAA) staff at the Eldoret International Airport last night made meticulous arrangements to receive and see off Sir Jimβs Gulfstream G280, which was flown by two pilots from his British base to fly Kipchoge to the Austrian capital.
It is in Vienna where Kipchoge, 34, is scheduled to attempt to run the marathon in under two hours, with the βINEOS 1:59 Challengeβ bankrolled by Sir Jim, owner of chemical firm INEOS.
A quick check reveals that the Gulfstream, registration number M-INTY was registered in Britain on March 4, 2016, and its last sightings have been on the British isles, the abode of Sir Ratcliffe, a running enthusiast.
The jet is valued at $24.5 million (Sh2.4 billion) and was expected to make a fuelling stop at Luxor, Egypt, before proceeding to Vienna.
Special jet for Eliud Kipchoge ahead of historic feat - PHOTOS
The first window for Kipchoge to run has now been narrowed.www.nation.co.ke
1961Khaaa!!!unamaanisha huu ujinga...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1226594
Kenya inatokana na mzungu kushindwa kutamka Kiinya ambayo Ni kamba name for Mt.Kenya.ππππ Walipaita hivyo ila sisi wenye nchi tukabadili na kukataa legacy yao na kupaita Kariakoo, ninyi mlikubaliana nao na kuwaona wao ndio wenye akili kuwazidi wanaume wote wa Kenya opps Kirinyaga πππ
1961
View attachment 1226599
1964
View attachment 1226600
Nani kaiba idea ya mwenzake?
Ni coincidence hizo ngao zifanane?
Ni coincidence hiyo milima ifanane?
Ni coincidence hizo creatures zipose hivyo?
Ni coincidence hiyo plantations ifanane?
Mmeiba coat of arms ya Tanzania huo ndio ukweli mchungu japo yenu ni ugly [emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaah! Mambo ndio haya sasa πππππKenya inatokana na mzungu kushindwa kutamka Kiinya ambayo Ni kamba name for Mt.Kenya.
Na Kikamba au lugha ya Aliyekuwa makamu wa Rais Kalonzo Musyoka ni? Usijifanye mjuaji Bro kubali kuelimishwa.Ewaaaaah! Mambo ndio haya sasa πππππ
Acha upumbavu ni Kirinyaga
Na Kikamba au lugha ya Aliyekuwa makamu wa Rais Kalonzo Musyoka ni? Usijifanye mjuaji Bro kubali kuelimishwa.
πππ Mbona kama umepaniq? Tanganyika toka lini yakawa maneno ya kijerumani?
Katiba ya Tanzania imeshabilishwa zaidi ya mara 3,kwa hiyo mpaka leo kumbe bado ni Katiba ya colony la muingereza? Katiba ya kijamaa? Katiba yenye azimio la Arusha? Katiba yenye mambo ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Katiba ya vyama vingi? Acha kujishushia heshima yako finyu ulionayo humu!
Hilo la Dar bado ni petty issue sana sababu pamoja na hivyo bado lina maneno ya kiswahili kama 'salama' huwezi kulinganisha na forceful change ya 'Kirinyaga' mpaka Kenya dah! Parefu hapo
Kwenye matajiri weusi wapo wengi tu, wewe unawaona hao baadhi ya wahindi lakini ni kina Mkapa, Lowassa, Msuya unrecover, kutokana na azimio la Arusha viongozi wa umma hawakutakiwa kuwa wafanyabiashara hivyo kuna baadhi ya matajiri wa kihindi ni waajiriwa tu
Halafu hata Kenya katika matajiri 10 watano ni wahindi.
πππ Halafu mmejaza kichaka cha magugu hapo kwenye coat of arms yenu mkifikiri sisi Tanzania tumechora hiyo mimea kwa bahati mbaya au kama pambo wakati yana significance kubwa sana kuhusu muungano wa Tanganyika and ZanzibarWoooiiiii!!!kujeni muone coat of arms ya tanzania..eti imeibwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji54][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1226607
Aliyepaniki ni wewe umeandika insha, jina Tanga nyika ni la Kiswahili, lakini aliyeagiza litumike ni Muingereza, soma historia ya nchi yako.
Nchi yenu haina tajiri mweusi ndani ya kumi bora wanaoimiliki nchi.
Ndio Hii legacy inayotambulika Dunia nzima sio JFπππ Halafu mmejaza kichaka cha magugu hapo kwenye coat of arms yenu mkifikiri sisi Tanzania tumechora hiyo mimea kwa bahati mbaya au kama pambo wakati yana significance kubwa sana kuhusu muungano wa Tanganyika and Zanzibar
View attachment 1226614
[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu mmejaza kichaka cha magugu hapo kwenye coat of arms yenu mkifikiri sisi Tanzania tumechora hiyo mimea kwa bahati mbaya au kama pambo wakati yana significance kubwa sana kuhusu muungano wa Tanganyika and Zanzibar
View attachment 1226614
Eti MuingerezaAliyepaniki ni wewe umeandika insha, jina Tanga nyika ni la Kiswahili, lakini aliyeagiza litumike ni Muingereza, soma historia ya nchi yako.
Nchi yenu haina tajiri mweusi ndani ya kumi bora wanaoimiliki nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu mmejaza kichaka cha magugu hapo kwenye coat of arms yenu mkifikiri sisi Tanzania tumechora hiyo mimea kwa bahati mbaya au kama pambo wakati yana significance kubwa sana kuhusu muungano wa Tanganyika and Zanzibar
View attachment 1226614