Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

Hahaha unaonekana kama una matatizo ya akili, hivi mzungu anaweza kuja Africa na jina 'Tanganyika' kwenye briefcase? Hilo ni jina la kibantu maana yake ni lazima alilikuta tayari kutoka kwa wenyeji, yeye kaja kaliendeleza, very simple logic

Ni tofauti na kuja kutoka ulaya na kukuta kichuguu kinaitwa Karinyaga na kuligeuza hilo jina na kuiita 'Kenya' jina ambalo halikuwepo kabisa hapo kabla na wala halina mantiki yeyote kimaana wala kifasihi na ninyi mlivyo mapoyoyo hata baada ya kupata Uhuru mkaendelea nalo kulitumia huku Muingereza akizidi kumiliki ardhi yote yenye rutuba ya Kenya

Harambee nayo Muhindi ndio mtunzi, mmejaribu kuandamana kupinga hilo neno la kihindu la kipagani lakini wapiii? Harambee ni mungu wa kihindi na ndio maana top 5 richest men in Kenya are Indians mpaka national team mmeipa jina la mumgu wa kihindi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila HIV malaria wao ndio husaidia kila siku. Hata mikopo wanatupatia wao
95% ya vifo vya malaria vinavyo uwa watoto wadogo Africa na hizo asilimia nyingine ni bara la asia kama sikosei... Ulaya hakuna Malaria yaani....
 

Haijalishi kama kakuta jina lipo, ila maamuzi ya paitwe Tanganyika na kuondoa German East Africa aliyafanya yeye, mababu zenu hawakua na usemi wowote, walipelekeshwa mara ardhi yao iitwe GEA mara ibadilishwe iitwe Tanganyika, wao kazi yakutumikishwa na kucharazwa na kuelekezwa elekezwa kama mazombi, hivyo huna jeuri ya kuchekelea nchi nyingine.
Japo inasikitisha maana wajukuu wao ambao ndio nyie hapo, leo hii mali imeshikiliwa na waarabu na wahindi ndio matajiri kumi bora.
 
Hahaha at least sio kama wana wa Kirinyaga walivyoletewa 'Kenya' kama mazuzu yasiojielewa πŸ˜‚πŸ˜‚ bora sie angalau tulijua kujiita Tanganyika tukakutwa na Tanganyika yetu na tukaheshimiwa kwa hilo

Fikiria kutungiwa Kenya, kutungiwa Harambee kutungiwa Emblem πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani kama wote taahira vile
 

Alikuta jina letu akalibadilisha kwa lafudhi yake, binafsi sibishi maana mwisho wa siku hata mababu zangu hawakua na usemi wowote, na ndio pia wa kwenu walikua mazezeta pia maana historia ya jinsi mabeberu wameitafuna Tanganyika tangu walipoipa jina GEA na kubadilisha iitwe Tanganyika na hadi leo wanaitafuna huku mkiteseka kwenye umaskini wa kutupwa ndani LDC huku waarabu na wahindi wakishikilia uchumi.
 
Hahaha aah wapi? Kirinyaga na Kenya wapi na wapi? Wamelileta neno Kenya lote kama lilivyo hamkuwashawishi kwa chochote na sababu ya unyumbu wenu wa akili ndogo, halafu cha kushangaza ni kwamba hata mlivyopata Uhuru hamkulibadilisha

Tanganyika ni legacy yetu sisi na kuonesha pia tunajiweza zaidi kwenye kubadili mambo makubwa tukajiita Tanzania baada ya muungano

Sasa ninyi Kenya ya mzungu, Harambee ya Muhindi, Emblem ya mtanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Akili au matope mmejaza kichwani?

SI mbadili kama Eswatini kutoka Swaziland?

Hamuwezi sababu Kenya ni mali ya Muingereza kama lilivyo Kenya jina lake
 
Wewe wacha kuharibu uzi na stori zako za ufala .
 

Tangu Muingereza aamue huko kuitwe Tanganyika na hata kabla ya hapo mabeberu wametafuna kila kitu huko, na leo hii waarabu wameshikilia kila kitu, hivyo hamna kipindi mumewahi kufaidi nchi yenu, sio enzi zile au hizi za CCM, licha ya kupewa nchi bila ugomvi.
Sisi mababu zetu walichukua nchi kwa vita na leo hii waafrika weusi ndio wanaongoza kati ya matajiri ndani ya nchi. Na uchumi wa Nairobi pekee umekaribia kutoshana na uchumi wa muungano wote wa Tanzania.
 
Point ya msingi ni hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukweli unauma
Kwani 'kirinyaga' ni jina la kizungu?....
Ama unafikiria eti Tanzania ama tanganyika existed before colonialists drew the boundaries?.....wacha ujinga
 
Point ya msingi ni hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚

Pointi ya msingi ni nani kati yetu bado anaateseka kwenye umaskni baada ya kunyonywa na mabeberu tangu enzi zileee....inatia huruma mpaka leo hamjajikomboa, mpo maskini wa kutupwa ndani ya LDC, na hakuna Mtanganyika (jina mlilopewa na mbeberu) ambaye amefaulu kutajwa kwenye umiliki wa uchumi wa nchi.
 
Ila HIV malaria wao ndio husaidia kila siku. Hata mikopo wanatupatia wao
Duuh usilolijua ni usiku mnene wa giza, hii HIV ni mpangi kabambe was haohao waje wajinufaishe kupitia madawa yao.
 
Point ya msingi ni hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚
https://www.facebook.com/ umeona hii kwanza? Mama kaomba maji Magu kampa za usoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…