Hahaha rudisha makanyagio hapa πππPointi ya msingi ni nani kati yetu bado anaateseka kwenye umaskni baada ya kunyonywa na mabeberu tangu enzi zileee....inatia huruma mpaka leo hamjajikomboa, mpo maskini wa kutupwa ndani ya LDC, na hakuna Mtanganyika (jina mlilopewa na mbeberu) ambaye amefaulu kutajwa kwenye umiliki wa uchumi wa nchi.
Alitumwa na chadema kuvuruga ziara ya muheshimiwa JPMhttps://www.facebook.com/ umeona hii kwanza? Mama kaomba maji Magu kampa za usoni!
aiseeee wanaume watz wanavaa marinda mazee....kumbe usenge ulianza zamaniii... π
Lini na je itaoneshwa live?Itaonyeshwa live lini?
Those are Kenyas agricultural produce;coffee, pyrethrum, sisal, tea, maize and pineapples! Eti magugu [emoji23]
Hawatusaidii wanatumia hio mbinu kutumaliza na kutuletea maradhi ambayo hayana tiba.Ila HIV malaria wao ndio husaidia kila siku. Hata mikopo wanatupatia wao
Ebola imetoka marekani na HIV ikatoka Canada,lengo Lao ni kulimiliki hili bara letu na hawawezi wakalimiliki kama tupo wengi lazima watafute mbinu ya kutupunguza Kwa vyovyote vile.Mungu atukumbuke na atujalie kheri watu weusi tuwe na umoja tuweze kushinda hawa nguruwe nyeupe.Hii yote ni miradi ya mabeberu, Ebola HIV chanzo cha magonjwa yote haya wanasema ni nyani lakini hao nyani wapo Africa kwa maelfu ya miaka na waafrika wamekua miaka yote hiyo wakikaa nao kama pets na hawajawahi kupata Ebola wala HIV ila hao nyani wameanza mchakato wa kusambaza viruses vya Ebola na HIV miaka hii ya hivi karibuni.
Tweet za Kenya unatoana wapi nazo Kama huzifatilii????πππ Kwa akili yako hiyo ni TV au tweet?
Citizen tv wako na ufala sijui Nani huwapa kupeperusha mambo mhimu kama haya, wao ni advert tu hadi nimehama siku hizi sionagi channel Yao.This Saturday 8am on NTV KBC and Citizen tv..
ππππππππππEbola imetoka marekani na HIV ikatoka Canada,lengo Lao ni kulimiliki hili bara letu na hawawezi wakalimiliki kama tupo wengi lazima watafute mbinu ya kutupunguza Kwa vyovyote vile.Mungu atukumbuke na atujalie kheri watu weusi tuwe na umoja tuweze kushinda hawa nguruwe nyeupe.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Tumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambiohttps://www.facebook.com/ umeona hii kwanza? Mama kaomba maji Magu kampa za usoni!
Sasa njaa kutukung'uta we lakuhusu vipi?Agricultural produce zipi wakati njaa inawakung'uta?
Hali ya upatikanaji wa maji Tanzania huwezi fananisha na Kenya, yaani upatikanaji wa maji vijijini kwa Tanzania, Kenya haijafika hata nusu kwa mijini, imagine Nairobi tu hakuna maji, what about Lordwa?Tumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambio
Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilegeTumeaminishiwa huku kuwa Nchi ya Asali na Maziwa haina mapungufu haswa ya maji REDEEMER. Vipi? Njoo ufanye mapambio
Chunga usinitibue mwaya.[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Engineer kumbe sometimes zimo? Umetoa one of the sobererest comment ever [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106]
πππππ
Huko Mapadlocks alikuwa anaitishwa maji Ni longindo??Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilege
Huko Mapadlocks alikuwa anaitishwa maji Ni longindo??Tanzania mpaka rural areas mifugo inakunywa maji ya taps yaani kama binadamu vile, standard hii wakazi zaidi ya 50% wa Nairobi hawapati hii privilege