Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Hv si ndo hili shirika juzi juzi tu limeleta hasara ya mabilioni ya hela?

Hv hizi wakaamua kujenga hata viwanda kila kanda Tanzania haitapiga hatua kweli?

Kweli kufa kwa kenge hadi sikio litoe damu🤣🤣🤣🤣
 
Ofcourse ni jambo jema , but zije kufanya kazi za maana na siyo viginevyo
 

Hao ndio sisiyemu adui kwa kwanza katika taifa ili. Usafiri wa anga wangewaachia makampuni binafsi wao wakaboresha viwanja na njia za kukimbilia ndege tanzania nzima. Wakasubiri kupata kodi zao.
 

Ama kweli kama wazanzibari hawataki Muungano muda wao ni sasa.

Ndege za ATCL tangu lini zikapokelewa Zanzibar?
 
Kwa hiyo hii ni ile order aliyoweka jiwe, nyingine ndo zinagawiwa zenj kudumisha muungano kwa mtindo wa sandakalawe aminaa.....
 
Kwa hiyo hii ni ile order aliyoweka jiwe, nyingine ndo zinagawiwa zenj kudumisha muungano kwa mtindo wa sandakalawe aminaa.....
Sasa hivi ni zawadi tu.
Umesahau kwenye birthday mzee wetu ruksa alizawadiwa gari la kifahari?
 

Who told you SAA ina ndege zaidi ya 120? Hivi kwanini mnaandikaga wrong data kiasi hiki, unajidanganya mwenyewe na unaonekana mpuuzi. Be smart ukiandika kitu.

How do you compare, ATCL na TTCL or other Govt Co. ni kosa kubwa, sbb business models zake ni tofauti, hakuna jinsi ya kufanya comparison. Acha siasa uchwara.
Ndege zinapokelewa tu Zanzibar alafu zinakuja TGFA, then zitakabidhiwa ATCL, sio kwamba wamepewa Zanzibar.
 
kwa hiyo hayo Mashirika yako ya Ndege,kisa yanashindwa,unatushauri na sisi Tanzania tusijaribu hiyo biashara,achaa na sisi tujaribu kuliko kutofanya kabisa! Hii ni biashara usiogope sana,ni swala la kujipanga na kusimamia biashara yako kwa karibu sana!!
 
Umeisahau ttcl ipo icu ingawa hawataki kusema makusudi
mashirika haya yalitakiwa yaendeshwe na wataalam bila kuingiliwa na siasa , hivi mnakumbuka bomba la kutoka kibamba hadi kisarawe ,halikua na sababu kabisaaaa kisa tu kimada wa mtu yuko kule , hapo kwembe tu na msumi watu wanakunywa maji pamoja na mifugo. walishaambiwa wasikubali akili ndogo kutawala akili kubwa hawaelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…