Ndiyo hapo sasa maana haiingii akilini.Hoja yako ni muhimu sana, tunajiuliza haya mambo ya Muungano yanapelekwa kwa Rais wa Zanzibar ambaye hatukumchagua sisi.
Kwetu kila kitu ni bora liende tuConclusion: Mwafrika hana aibu
Kila kitu kina umuhimu wake katika upande wake (maji umeme barabara meli midege vyote ni muhimuKati ya vitu tunakosea CCM nikununua midege
Ofcourse ni jambo jema , but zije kufanya kazi za maana na siyo viginevyoNaam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Ndege zenyewe zinaenda Arusha,Kigoma na Mwanza zikitoka nje ya nchi ni India na China au mpaka zikodishwe na Yanga iende Nigeria.
Hizo hela zipelekeni kutengeneza barabara za vijijini wananchi wasafirishaji mizigo kwa unafuu,pelekeni zikajenge madaraja au kama zipo nyingi sana wakopesheni SUMA JKT,Magereza na Shirika la maendeleo la taifa(NDC) ili waanzishe mashamba ya michikichi na waanzishe viwanda vya kukamua mafuta ya mawese .Nchi ina mamilioni ya hekari lakini mafuta ya kupikia yanatoka Malaysia aibu sana hii.
Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Mbeleko imechanika?Umeisahau ttcl ipo icu ingawa hawataki kusema makusudi
Naona mbeleko imechakaa sasa imekatika katika vipande na hakuna tena wa kuibebaMbeleko imechanika?
Mbaya Zinataga Mayai Viza Muda UnapoteaZisije tu kuja kutaga kama hizi nyingine.
Majogoo yapo mawili zitataga tuZisije tu kuja kutaga kama hizi nyingine.
Sasa hivi ni zawadi tu.Kwa hiyo hii ni ile order aliyoweka jiwe, nyingine ndo zinagawiwa zenj kudumisha muungano kwa mtindo wa sandakalawe aminaa.....
Mashirika makubwa ya ndege kama SAA, KQ hata Emirates na KLM yamekuwa na changamoto kubwa za kibiashara na hata kufilisika. Angalia SAA ya Afrika Kusini inajitahidi kufufuka kwa taabu kubwa, hili ni shirika lenye ndege zaidi ya 120 na hufanya safari zake popote duniani!
Isitoshe linamilikiwa kwa ubia na wazungu na serikali tajiri ya Africa Kusini. Sijui itakuwaje na ATCL yetu kama tu tunshindwa hapa nyumbani kuendesha TTCL na TANESCO kibiashara.
kwa hiyo hayo Mashirika yako ya Ndege,kisa yanashindwa,unatushauri na sisi Tanzania tusijaribu hiyo biashara,achaa na sisi tujaribu kuliko kutofanya kabisa! Hii ni biashara usiogope sana,ni swala la kujipanga na kusimamia biashara yako kwa karibu sana!!Mashirika makubwa ya ndege kama SAA, KQ hata Emirates na KLM yamekuwa na changamoto kubwa za kibiashara na hata kufilisika. Angalia SAA ya Afrika Kusini inajitahidi kufufuka kwa taabu kubwa, hili ni shirika lenye ndege zaidi ya 120 na hufanya safari zake popote duniani!
Isitoshe linamilikiwa kwa ubia na wazungu na serikali tajiri ya Africa Kusini. Sijui itakuwaje na ATCL yetu kama tu tunshindwa hapa nyumbani kuendesha TTCL na TANESCO kibiashara.
Tutaimarisha kadri muda utakavyozidi kwenda, hakuna kitachoharibika!!Dawasco yenyewe inasuasua
mashirika haya yalitakiwa yaendeshwe na wataalam bila kuingiliwa na siasa , hivi mnakumbuka bomba la kutoka kibamba hadi kisarawe ,halikua na sababu kabisaaaa kisa tu kimada wa mtu yuko kule , hapo kwembe tu na msumi watu wanakunywa maji pamoja na mifugo. walishaambiwa wasikubali akili ndogo kutawala akili kubwa hawaelewi.Umeisahau ttcl ipo icu ingawa hawataki kusema makusudi