Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiyo hapo sasa maana haiingii akilini.Hoja yako ni muhimu sana, tunajiuliza haya mambo ya Muungano yanapelekwa kwa Rais wa Zanzibar ambaye hatukumchagua sisi.
Ila kwakuwa mwenye kushika mpini ndiyo anaye panga basi tukimbize mabawa yetu.