Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Duh mama kaupiga mwingi hapo. Rais wa zanzibar kupokea ndege za air tanzania jambo jema sana. Zanzibar kwa utalii wa tanzania kazi iendelee.
 
Yaani taifa linaangamia kisa mawazo ya mtu mmoja tu kaamua kufanya hivyo.

Ndiyo maana tunapigania kupata katiba mpya itakayo ondoa ukiritimba wa madaraka kutoka kwa mtawala.

Mwl JK Nyerere alisha wahi kusema kuwa kulungana na madhaifu ya katiba yetu tuliyo nayo.

Akitokea rais kichaaa basi anaweza akafanya madhara makubwa kwani katiba inamlinda.

Lkn kuna watu wakisikia habari za katiba mpya wanaogopa utadhani wamekutana na msafara wa wadudu wa korona.
 
1. Kwanini zipokelewe Zanzibar?
2. Serikali ya sasa isingeweza kuendelea kununua ndege kwa mtindo wao wa kiuendeshaji
3.Hayati JPM ndio aliacha tayari ziko kiwandani zinatengenezwa
4. Hawa wa sasa hawawezi kununua kwa pesa taslimu zaidi ya mikopo
 
Kwa hivyo unataka kusema tajiri fulani mtoto wake mwanaume ni baradhuli wewe masikini usizee kwa kuhofia kuwa mwanao kuja kuwa baradhuli
 
Ukinunua bus la abiria, arafu Nauli ikawa juu, watoto wako wakashindwa kupanda bus la baba yao, wakaenda kupanda mabus mengine ya bei nafuu, unadhan watakuelewa??

Maoni yangu, serikali itafute namna ya kupunguza Nauli za ndege hili watu wapande wengi na root ziwe nyingi.

Sasa hv unakuta ndege inaenda safar moja arafu kwa kukosa abiria inalala yooooo mpaka next day. Safar hiyo hiyo moja operation costs ziko juu balaa!

Jambo lingine, haswa safar za ndan, waruhusuni wawekezaji wa ndege za ndan wawe wengi ndo ushindan utakuwepo. Nadhan mlio ishi nchi Kama India mtakubaliana na mm ile nchi ilivyo na demostic flight nyingi Sana na hivyo naul ndogo na hivyo wasafir wanakuwa wengi!

Sasa apa kwetu..... , Ata Fast jet sijui ilikufia wap! .Juz nilikuwa Tunduma naenda kukata tiketi ya ATCL kutokea Songwe to Mwanza. Naambiwa hapa mzee unalipia Nauli ya root ya dar, then unalipia Nauli ya dar to mwz. Gharama walizo nipa root nzima inafikia milion na point .
Baada ya kuona hiyo gharama nikasema hapa kweli Shikamoo ATCL na Kaz iendelee.!!!

Serikali, ongezeeni wafanyakaz mishahara mizuri, punguzeni au kufuta kabisa vimatumizi vya kijinga arafu hela zipelekeni kweye mishahara ya watumishi..

Mfano wa vimatumizi vya kijinga ni Kama gharama za kukimbiza mwenge nchi nzima ukiwa chini ya ulinzi mkali wa police na bunduki n.k. inatusaidia nn kwa mfano?????

Wafanya biashara wapunguzien makodi..arafu muone Kama ATCL haitajaza abiria mpaka faida nono. Si nyie mnao tuambia Tanzania ni nchi Tajiri? Sasa ndugu Yetu Mwigulu mtaalam wa uchumi, mshaurin raisi wetu vizuri, mambo ya kutwambia Tozo Tozo zitajenga vituo vya afya kwan kikwete, Magufur walivijengaje? Na walipovijenga vilibomoka lini au vip jaman!!!!!

Ndege nunueni tu hata zifike 1000 lakin Kama hazipat abiria na root ku ongozeka ,hv kweli shirika letu litaepuka maden hapo jaman?
 

Attachments

  • VID_20210312_122425~3.mp4
    13.7 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…