mbedegalo mbeka
Member
- Mar 16, 2020
- 25
- 40
Nenda kwa magaidi wenzio..Znz inaunda shirika lake la ndege kwa hela za Tanzania... mpaka 2025 watakua na shirika lao la ndege .
Ccm watueleze huu muungano wanaoupogia debe una manufaa gani?
Subiri maelezo hayo