Ndege nne za Urusi zaangushwa huku baadhi ya Wanajeshi wake wakikataa kutekeleza amri za Wakuu wao

Hakuna aliyesema russia kazidiwa lakini lazima ufahamu Russia wamepata upinzani wasioutegemea kusonga mbele zaid kwenye miji ya Kiev
 
Mkuu bandari Mariupol imerudi mikononi mwa ukraine jamaa wana fight kimya kimya, mrusi yeye anapiga mabomu magorofa tu anadhan labda kuna watu ndio vita yake kubwa mpaka sasa hana technique
Hadi sasa sijaona sababu ya Urusi kuendelea na vita
 
Unataka tukuamini ww mtu wa gongo la mboto??

Sawa endelea kuamini wamagharibi wanaoendelea kuzichafua nchi za kiarabu na afrika. Wakati iraq, libya, Afghanistan na palestina zinavamiwa na kuuwa watu waco na hatia, baadhi ya viongozi wao pia waliuawa, je! Ulithubutu kuweka kibendera chao?
 
Nimesubri au video ya hizo ndege zlizoangushwa sioni mpaka nimeamua kuandika.

Toa picha basi
 
Acha tabia ya kukopi bbc na kuleta jamii forums
We need fresh news
 
Sawa endelea kuamini wamagharibi wanaoendelea kuzichafua nchi za kiarabu na afrika. Wakati iraq, libya, Afghanistan na palestina zinavamiwa na kuuwa watu waco na hatia, baadhi ya viongozi wao pia waliuawa, je! Ulithubutu kuweka kibendera chao?
Aliyefanya uharamia wa mauwaji nchi kiarabu na waislamu ni Marekani., hii vita ya Ukraine anayeuwa watu waso na hatia ni Russia mtu anaitwa Putin lazima alaaniwe na yeye
 
Wabongo watakuambia ni propaganda [emoji3]

Hawataki kuamini imekuwa tofaut na walivyokuwa wanataka.

Mwanzoni warusi wa kibongo walisema ndani ya masaa 48 tayali kazi kwisha.. haya karibu mwezi sasa[emoji16]
Akina Bwana utam hawana hamu, Warusi hawaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…