Ndege Vita za Russia ndani ya saa 48 katika ya pwani ya Marekani na Canada. USA alalamikia Uchokozi wa Russia

Ndege Vita za Russia ndani ya saa 48 katika ya pwani ya Marekani na Canada. USA alalamikia Uchokozi wa Russia

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi .

Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin ameshatangaza kuwa kitendo cha Ukraine kushambulia urusi kwa makombora ya Masafa marefu ni kutangaza vita ya Moja kwa Moja na NATO na uamuzi sahihi wa kushughulikia suala hilo utafanywa kwa haraka sana.

Kwa sasa marekani Bado haijatoa msimamo wake juu ya matumizi ya silaha zake huko Ukraine huku wakisisitiza Bado msimamo wake wa awali wa kutoiruhusu Ukraine kushambulia urusi ndani ya mipaka yake kwa silaha za marekani unaendelea.

Katika Hali nyingine mwanachama mwengine wa NATO nchi ya Italy imeiambia Ukraine kuwa silaha zake hazitaruhusiwa kushambulia ndani ya mipaka ya nchi ya Russia.
Screenshot_20240914-061224_1.jpg
 
Kwenye hiyo article kuna mahali pameandikwa, "The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"

Sasa hapo kuna kubwa lipi maana International airspace ni haki ya kila Taifa. Mleta mada umeandika as if Russia amefanya uvamizi ndani ya USA au hujui kutafsiri kingereza
 
Hapo wamesema hizo ndege hazikuingia kwenye anga ya Marekani wala Canada mpaka zikaondoka lakini wewe kwenye andiko lako hujasema hilo sasa sijui ni lugha ndio shida au ni yaleyale ya kawaida yaani Unafiki, sijui.
Kama ndege za Russia zimeweza kufika karibu na USA na Canada. International waters ni kasehemu kadogo sana " a thin line between life and death" waanzage kujiandaa tu vita ikianza kumalizia hiyo sehemu iliyobaki ni suala la sekunde kadhaa.
 
Kwenye hiyo article kuna mahali pameandikwa, "The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"

Sasa hapo kuna kubwa lipi maana International airspace ni haki ya kila Taifa. Mleta mada umeandika as if Russia amefanya uvamizi ndani ya USA au hujui kutafsiri kingereza
Kama ndege za Russia zimeweza kufika karibu na USA na Canada. International waters ni kasehemu kadogo sana " a thin line between life and death" waanzage kujiandaa tu vita ikianza kumalizia hiyo sehemu iliyobaki ni suala la sekunde kadhaa.
 
Kwenye hiyo article kuna mahali pameandikwa, "The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"

Sasa hapo kuna kubwa lipi maana International airspace ni haki ya kila Taifa. Mleta mada umeandika as if Russia amefanya uvamizi ndani ya USA au hujui kutafsiri kingereza
Upo sahihi kabisa , hakuna sehemu iliyosema zimeingia anga la Marekani au Canada. LAKINI JIULIZE NI KWANINI kituo cha anga cha Marekani (NORAD) KIMETOA TAARIFA. Kama ni jambo la kawaida ni kwanini sasa itangazwe.

Ni vema mkajua kuwa kwenye conflict yoyote huwa kuna vitu viwili 1. Action 2. Alert.
Hivyo kwa Marekani hiyo wanachukulia ni Alert kwao kwasababu ni nadra sana ndege vita za Russia kuvinjari karibu na kwao hasa kipindi hiki ambacho uhasimu wao umeongezeka sana.
 
Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi .

Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin ameshatangaza kuwa kitendo cha Ukraine kushambulia urusi kwa makombora ya Masafa marefu ni kutangaza vita ya Moja kwa Moja na NATO na uamuzi sahihi wa kushughulikia suala hilo utafanywa kwa haraka sana.

Kwa sasa marekani Bado haijatoa msimamo wake juu ya matumizi ya silaha zake huko Ukraine huku wakisisitiza Bado msimamo wake wa awali wa kutoiruhusu Ukraine kushambulia urusi ndani ya mipaka yake kwa silaha za marekani unaendelea.

Katika Hali nyingine mwanachama mwengine wa NATO nchi ya Italy imeiambia Ukraine kuwa silaha zake hazitaruhusiwa kushambulia ndani ya mipaka ya nchi ya Russia.
View attachment 3095340
Huna akili,soma vizuri huo mstari

The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"
 
Kwenye hiyo article kuna mahali pameandikwa, "The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"

Sasa hapo kuna kubwa lipi maana International airspace ni haki ya kila Taifa. Mleta mada umeandika as if Russia amefanya uvamizi ndani ya USA au hujui kutafsiri kingereza
Kachanganya na international school pale masaki 🤣
 
Kwenye hiyo article kuna mahali pameandikwa, "The Aircraft remained in International waters and did not cross into U.S or Canadian airspace during their flight"

Sasa hapo kuna kubwa lipi maana International airspace ni haki ya kila Taifa. Mleta mada umeandika as if Russia amefanya uvamizi ndani ya USA au hujui kutafsiri kingereza
Ni wewe hujamuelewa mleta mada.
Amesema ndege zimerushwa karibia na pwani ya USA.
Kitendo cha hizo ndege kuwa easily detected inamaana zilisogelea karibu sana na mipaka ya ghuba ya Marekani.
Hata Kiduku wa Korea Kaskazini huwa anatest makombora yake katika international waters ila analalamikiwa kuwa mkorofi kwasababu anayarusha kilometa chache sana karibia na mipaka ya wenzake ya maji.
 
Back
Top Bottom