Ndege ya Air Tanzania yashindwa kutua Bukoba, yageuza kwenda kutua Mwanza

Ndege ya Air Tanzania yashindwa kutua Bukoba, yageuza kwenda kutua Mwanza

Yule wa precision ni aidha alijaribisha tu kushuka kwenye giza au chombo kilipata hitilafu au wese lilikuwa kidogo.
 
Basi tatizo ya ile ajari,imeshaanza kujulikana;!!
 
Basi tatizo ya ile ajari,imeshaanza kujulikana;!!
Watu wana akili kuliko unavyojua ama kuwaza na je unajuaje Ni game inachezeshwa ili public or majority waamini ivyo. Hii dunia iache tu Kuna mengi yanafanyika gizani baadaye tunaletewa wao wakiwa na Wana ajenda zao.

Unadhani walikaa wangapi ikaamuliwa kuwa Taifa gesi ipigiwe chapuo kitaifa akina mama wagaiwe na hao akina mama Ni Nani aliyewandaa jamani.

Unadhani walikaa watu wangapi wakaamua kuwa symbion ilipwe.

Elewa mtu anaenda Mauritius, Seychelles or USA anasajli kampuni anachukua vijana graduate wa nje waliopo kwa training wanakuja hapa home like investors.

Acheni jamani nchi hii inaibiwa Kama Nini. Baada ya 300yrs tutatukanwa mno muda huo wanaoiba kizazi Chao kipo nje wameshabadili na uraia
 
Ilipokuwa ikienda kutua ilikuwa Precision na ilipogeuza kwenda Mwanza ikawa Air Tanzania! Nimeachwa njiapanda.
 
zikiwa zimepita siku 11 tangu itokee ajali ya precision air ,ndege nyingine ya air Tanzania imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa bukoba kutokana na hali mbaya ya hewa.kuna ulazima gani wa kuendelea kupeleka ndege kwenye uwanja hatarishi?Chanzo bbc,
 
zikiwa zimepita siku 11 tangu itokee ajali ya precision air ,ndege nyingine ya air Tanzania imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa bukoba kutokana na hali mbaya ya hewa.kuna ulazima gani wa kuendelea kupeleka ndege kwenye uwanja hatarishi?Chanzo bbc,

Imeshindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa. Hali ya hewa ikitulia ndege zitaendelea kutua kama kawaida.
 
Hii inamaanisha kuwa ile ajali

1: ile ndege iliishiwa mafuta
2: tatizo la kiufundi tail kukataa kutoka.

Hii imerudi mwanza coz ilikuwa na mafuta ya kutosha.
Itoshe kusema hali ya hewa haikusababisha ajali bukoba.
Kama mafuta yangelikuwemo hata kiasi angeiletaga kwetu chattle uwanja bora wa ndege wa kimataifa.
 
Yule rubani wa ndege iliyoanguka angefanya kama huyu angeepusha ile ajali, haya matukio ni ya kawaida hasa hali ya hewa inapokuwa hairuhusu kutua uwanja uliokusudiwa.
Yule rubani ni makini sana ndege ilikuwa na technical issues, kuishiwa mafuta na taili kugoma kutoka hizi ndo sababu watu wanazo sizema.

Asante Mungu Air tanzania imefika mwanza salama
 
Kwani hawa jamaa bado wanarusha ndege wakati ile iliyoanguka haijapatiwa majibu ya chanzo cha ajali...😕
Heee!!kwa hiyo ndege ziache kufanya kazi kisa ndege moja imepata ajari na chanzo chake sio tatizo la ndege,bali inavyoonekana ni tatizo la hali ya hewa?sasa leo ni ndege ya air Tanzania ndio imeshindwanl kutua unasemaje?!!
 
Yule rubani ni makini sana ndege ilikuwa na technical issues, kuishiwa mafuta na taili kugoma kutoka hizi ndo sababu watu wanazo sizema.

Asante Mungu Air tanzania imefika mwanza salama
Daaa!! Hivi ndege kuishiwa mafuta unadhania ni kitu rahisi kama kwenye bodaboda! Kuna mambo mengine kabla hata ya kuyaandika tumia kwanza halimashauri ya ubongo wako kwanza kufikiria.

Inshu ya ndege kuishiwa mafuta, lazima kuwe na sababu ya kiufundi, iliyopelekea mafuta hayo kutumika tofauti na makadirio, sasa ndege itoke dar, izunguke anga la bukoba mala moja, mafuta yaishe?

Toka miaka na miaka kwa uwanja wa bukoba ndege kushindwa kutua ni jambo la kawaida sana, Labda kuusaidia uwanja huo kupunguza matatizo hayo ni kuweka taa kwewnye runway,
 
Back
Top Bottom