Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Dawa ya utawala huu ni Mungu auiite haraka na kulitawanyisha gwaride wakiwa vichwa chini ni uzandiki, inda, ulaghai na chuki dhidi ya push-up na tumbuatumbua kwamba alikosea kujenga uwanja kwao na kuacha Bukoba haina uwanja mkubwa kwa madai kwamba kitendo kinasababisha kuhatarisha maisha ya abiria!!!!hapa kuna kitu nyuma ya pazia,wanajaribu kuimarisha PR na kuaminisha umma kuwa ni weather related issue and somebody R.I.P Comrade was wrong despite the fact that it's a technical issue na responsible organ hawataki kuwajibika.
Siasa ya kuchafua kisichokuwepo kujikosha kwa maji ya mtaroni!!!!
CCM inatakiwa waadhibiwe kwa kuondoshwa madarakani haraka sana maana wanajifanya miungu watu na wamiliki wa nchi
*They are looking for a scapegoat for sacrifice to evade being held accountable for gross negligence that led to the downing of the recent aircraft into the lake causing several passengers drowned. to death.