babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ok, then i dont know that.Babu acha kupotosha
Air craft tires are pressurized!!!
Kama unakumbua ajali ya concord mwaka 2000 ilitokea baada ya concord kikanyaga chuma kilichoachwa na ndege iliyotangulia dc10, chuma hicho kilienda kupasua tenki la mafuta na blowout ya tari ndo ilasababisha moto
Nachotaka kusema ni kuwa matairi ya ndege yanakuwa inflated with air pressure tofauti ni kuwa kule wanatumia nitrogen air ili kupunguza expansion and contraction pressuer during landing and take off.
ndugu wacha kudanganya .sasa huyo jpm angekufanya nini endapo ungeandika huo uzi wako hapa?Nina picha kama hiyo ya ndege inayofanana na hiyo, tofauti ni kuwa yangu niliipiga mwaka juzi nikitokea bukoba, with stoppover mwanza , by then niliogopa hata kuileta hapa kwa hofu kuu ya the late .
Atcl wapo busy kunenepesha profit books ili waonekane wanajiendesha kwa faida matokeo yake hata basic servise zinachelewa
When you put profit before safety, thats when youll have accidents.
Mambo ya kuliusalama kama haya ulikuwa ukiyataja wakati wa dikteta ulikuwa ni lwzima ukamatwe wakati unalisaidia taifa kuokoa watu na ndege kwa ujumla,ASANTE sana kwa kuikumbusha serekali.Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.
Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.
Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.
Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.
Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.
View attachment 2197854
View attachment 2197855
Loh! Mutafungwa na matairi mabovu ya ndege wapi na wapi?Habari hii imfikie kamanda Mkuu wa wale wabrashi viatu maarufu, kamanda Mutafungwa.
Nimesema nilipatwa na hofu, , inasaidia nini kudangaya ?ndugu wacha kudanganya .sasa huyo jpm angekufanya nini endapo ungeandika huo uzi wako hapa?
Trafic hawajaiona,hahahahahaaaaaaaaJana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.
Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.
Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.
Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.
Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.
View attachment 2197854
View attachment 2197855
Umemuumbua jamaa, keshatuongopea kwamba ni mpira tu hakuna nafasi...........kumbe ni sawa na tairi ya gari inajazwa upepo.Airplane Tires Don’t Explode on Landing Because They Are Pumped!
They're like the tires on your car—but way stronger.www.wired.com
View attachment 2199272
View attachment 2199273
View attachment 2199274
Airbus A220 inatumia Aluminium fusalageAre you sure?Tatizo la hizo A220 ni kutu
Ni Qatar Airways, hii imesababisha Airbus kutupilia mbali order zote za Qatar AKuna habari nilisoma emirates kudai fidia airbus kutokana na ndege kupata tatizo la rangi kubanduka kwenye fuselage, pamoja na airbus kudai hiyo ni minor breach ambayo haiathiri usalama wa ndege ishu ilipelekwa mahakamani ikidaiwa fidia ya dola milioni 600 kama sijakosea.......kwa hiyo ndugu mteteaji hili nalo unalizungumziaje, je, huoni kwamba situation inayoweza kuleta tu hofu au mashaka kwa abiria tayari inakuwa ni doa kwenye safety standards?
Hawa wanataka faida na kwa sababu midege imenunuliwa cash basi wanaficha hata service maana hakuna ataye waulizaKama tyre inaisha hivi..hivi huko kwenye engine wanabadilisha hata oil kweli?
Umeamua kufanya back datingView attachment 2198358Hii ni 2018 na iliyolewa marlezi ya kitaalam. Traffic wa airport ni Tanzania Civil Aviation Authority, TCAA.
Photoshop katika ubora wakeView attachment 2198358Hii ni 2018 na iliyolewa marlezi ya kitaalam. Traffic wa airport ni Tanzania Civil Aviation Authority, TCAA.
Loh! Mutafungwa na matairi mabovu ya ndege wapi na wapi?
Sina huo uhuni. Ila hiyo issue ilishakuja huko nyuma.