babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ok, then i dont know that.Babu acha kupotosha
Air craft tires are pressurized!!!
Kama unakumbua ajali ya concord mwaka 2000 ilitokea baada ya concord kikanyaga chuma kilichoachwa na ndege iliyotangulia dc10, chuma hicho kilienda kupasua tenki la mafuta na blowout ya tari ndo ilasababisha moto
Nachotaka kusema ni kuwa matairi ya ndege yanakuwa inflated with air pressure tofauti ni kuwa kule wanatumia nitrogen air ili kupunguza expansion and contraction pressuer during landing and take off.
Elimu tumepeana lets others comment