Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Dege hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa gharama za naniWakati wanapelekwa hotel moja kwa moja
Nimekuwa n8kiangalia mapigano makali Khartoum na Merowe.
Ndege husafiri sana kupitia baharini kukwepa omba vibali kila nchi inayopita na kulipia mara kwa mara.Hy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Abiria hawatashuka ina-fuel then inasepa zake to Dubai usiku huu huu.Wakati wanapelekwa hotel moja kwa moja
HIMARS ndio wale wale wa sky chefsNimesikia wanajaza mafuta na kusepa
Hiyo nilipanda wakati wa kushuka utafikiri kijiji yaani watu zaidi ya 600 tulikuwa humo Nami nikiwa gorofani
Kweli bhna 21:50Naona kama imeshasepa ama?
Routes za ndege zinajaribu kukwepa bahari kadiri iwezekanavyo , zinatakiwa zipite kwenye routes zilizo karibu na viwanja vya ndege , ikitokea dharura yoyote inakuwa rahisi kuishusha , hata ikibidi route iwe ndefu zaidi na pia iwe inapokewa kimawasiliano na control towers za njiani..Ndege husafiri sana kupitia baharini kukwepa omba vibali kila nchi inayopita na kulipia mara kwa mara.
Na saa zingine huangalia njia fupi ili wasii gie gharama ya mafuta
Duh Kwahy kupita A. Mashariki/kati ndio njia fupi 😂 kweli Mm bado mgeni sana kwenye safari za ndegeNdege husafiri sana kupitia baharini kukwepa omba vibali kila nchi inayopita na kulipia mara kwa mara.
Na saa zingine huangalia njia fupi ili wasii gie gharama ya mafuta
Chap airport kudaka toto za kibrazilMuda wa kuvizia pisi Kali airport
Yaani unafurahia matatizo ya watu jamani, wenzio safari yao imeingia mushkeli, au ndo vile kufa kufaana? 😅😅😅
Nakusalimia nduguYaani unafurahia matatizo ya watu jamani, wenzio safari yao imeingia mushkeli, au ndo vile kufa kufaana? [emoji28][emoji28][emoji28]
Abiria 514Ndege ya Fly Emirates namba EK 262 iliyokuwa ikitokea Sao Paulo kuelekea Dubai, imebadili njia na sasa yaelekea kutua JNIA baada ya kupata dharura.
Inakuja tua JNIA sababu imekwepa Anga la Sudan ambapo kuna hali ya sinto fahamu
Mahotel na Coaster zijiandae kunufaika maana abiria ni zaidi ya 200View attachment 2588987
We mtu upo? Ndo nini kupotea hivyo? Mi sijamboNakusalimia ndugu