Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha polojo. Onyesha ushaidi wowote ule wa Urusi kununua ndege ya kivita yoyote ile kutoka MarekaniHiyo ndege Russia aliinunua kutoka Marekani.
Kuchimba vyooIlienda kufanya nn huko?
SawasawaAcha apigwe mpaka akili imkae sawa
Ni kweli lakini nani anaweza kuthubutu kufanya hivyo?Collective west wamegoma kumpa Zele long range missiles zinazoweza kushambulia Urusi,Unadhani kwanini?Ungelijua Hilo basi hiyo nadharia Yako usingeiandika hapa!Jana niliona habari huko Moscow kuna hotel imelipuliwa eti warusi wanailaumu Kiev 😅😅😅😅 inabidi hii vita ipiganiwe Urusi ili waonje damu ya watoto wao
Kwahiyo bomu lilitegwa na warusi wenyewe??Ni kweli lakini nani anaweza kuthubutu kufanya hivyo?Collective west wamegoma kumpa Zele long range missiles zinazoweza kushambulia Urusi,Unadhani kwanini?Ungelijua Hilo basi hiyo nadharia Yako usingeiandika hapa!
Ni kwamba hakuna ambaye anaweza kwenda kupigana vita Urusi!
Huo ni ugaidi kama ugaidi mwingine unaoujua!Kwahiyo bomu lilitegwa na warusi wenyewe??
Pole sana.Nasemaje! nasemaje! nasemaje! nasemaje! imeliwaaaa!!!!!
Wanaweza kushambulia sema hawatosema hilo ndiyo jibuHuo ni ugaidi kama ugaidi mwingine unaoujua!
Nilichokueleza hakuna taifa ambalo linaweza kushambulia Urusi halafu wakaweka wazi ni wao wamehusika!Ndio maana hata tukio la kujitoa muhanga huko Crimea,serikali ya Zele haikusema kama imehusika!
Siyo hivyo,kushambulia Kwa kutumia watu kupenya Urusi na Wala sio Kwa long range missiles!Wanaweza kushambulia sema hawatosema hilo ndiyo jibu
Mbona wewe umeweka picha ya puttin!?Ushabiki na taarifa zisizo na uhakika. Tutatueni umasikini wetu watanzania tuwaachie wanaoweza hayo mambo.
Kuhangaika na haya mambo ni ulimbukeni tu.
Hiyo picha ya puttin vipi!?Ushabiki na taarifa zisizo na uhakika. Tutatueni umasikini wetu watanzania tuwaachie wanaoweza hayo mambo.
Kuhangaika na haya mambo ni ulimbukeni tu.
Pole sana.
Ninaweza kukisia moyo wako unavyobubujikwa uchungu kwa namna agenda zako zinavyowekwa wazi kuwa Hazina mashiko!
Vumilia tu hakuna namna!
Kushambulia ni kushambulia tu.....haijalishi kupitia wapi na njia ipi.Siyo hivyo,kushambulia Kwa kutumia watu kupenya Urusi na Wala sio Kwa long range missiles!
US kila wakati watu wanashambulia shule,makanisa,mabaa NK na kuua watu!So mashambulizi kama hayo ya kigaidi sio jambo geni!Kushambulia ni kushambulia tu.....haijalishi kupitia wapi na njia ipi.