Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kwenye hilo kuna watalaamu toka Czech republic wako vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mantinki hiyo basi kampuni nyingi hazitengenezi badi zinafanya assembling tu.Boeing wenyewe wanafanya assembly ndege zao
Engine za Boeing wananunua kampuni nyingine hawatengenezi wao
Watu mna maneno😀Kwann wametengeneza ka abiria wawili tu,yaan kanazidiwa na boda boda kubeba abiria
Imeunganishwa tu
Kabisa.Kwa mantinki hiyo basi kampuni nyingi hazitengenezi badi zinafanya assembling tu.
Wapongezwe, wamejitahidi na sio kubeza kila kitu tu.
Kabisa haya ndiyo mambo tunataka ona syo kila mtu awe chawa aisha kwa kupiga domo tuSure man..tuwapongeze na kuwatia moyo, jnaweza badil trend ya mitazamo ya vijana wetu wasomi ambao wao kutwa kuwaza uchawa baada ya kuharibiwa na hiz media kwamba usomi hauna faida
SahihiKwa mantinki hiyo basi kampuni nyingi hazitengenezi badi zinafanya assembling tu.
Wapongezwe, wamejitahidi na sio kubeza kila kitu tu.
Viwanda vingi kwa taarifa ni assembly mfano wewe binafsi unashindwa nini kuanzisha kiwanda cha ku assemble baiskeli?Imeungwanishwa tu
Halafu naona kuna mzungu na atakuwa ndio katika ma engineer na sio Maulidi Kitenge kwa hiyo usiogope uwe na amani
Mwenyekiti wa CCM ataenda lini kuzizindua?Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuanza safari za ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, aina ya Skyleader 600. Mkurugenzi wa AAL, Bw. David Grolig, alisema ndege moja imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kama sehemu ya uzinduzi.
Grolig alithibitisha kuwa kampuni yao imepata kibali cha mamlaka husika baada ya kuthibitisha ubora wa ndege hizo, ambazo ni za kisasa na zina viwango vya kimataifa. Ndege hizi, zikiwa na uwezo wa kubeba abiria wawili pamoja na rubani, ni suluhisho bora la usafiri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
AAL, kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza ndege za aina hii, imetengeneza ndege hizi kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Gharama za kununua ndege hizo ni nafuu kama kumiliki gari. Ndege hizo pia zilioneshwa katika Maonyesho ya Watengenezaji wa Bidhaa ya Tanzania (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ndege hiyo aina ya Skyleader 600,kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) kwa mara ya kwanza katika historia.
wwanatengeneza nn 😆🤣 hakuna mtz anaeweza kutengeneza ndege ujnja janja tu
Nafikiri una ufala sanawwanatengeneza nn 😆🤣 hakuna mtz anaeweza kutengeneza ndege ujnja janja tu
Mafanikio haya ni matokeo ya sera nzuri za Rais Samia za kuvutia wawekezaji na sekta binafsi.Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuanza safari za ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, aina ya Skyleader 600. Mkurugenzi wa AAL, Bw. David Grolig, alisema ndege moja imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kama sehemu ya uzinduzi.
Grolig alithibitisha kuwa kampuni yao imepata kibali cha mamlaka husika baada ya kuthibitisha ubora wa ndege hizo, ambazo ni za kisasa na zina viwango vya kimataifa. Ndege hizi, zikiwa na uwezo wa kubeba abiria wawili pamoja na rubani, ni suluhisho bora la usafiri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
AAL, kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza ndege za aina hii, imetengeneza ndege hizi kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Gharama za kununua ndege hizo ni nafuu kama kumiliki gari. Ndege hizo pia zilioneshwa katika Maonyesho ya Watengenezaji wa Bidhaa ya Tanzania (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ndege hiyo aina ya Skyleader 600,kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) kwa mara ya kwanza katika historia.
Unawashwa ww siyo bureMafanikio haya ni matokeo ya sera nzuri za Rais Samia za kuvutia wawekezaji na sekta binafsi.
Tanzania ya Viwanda is real sio porojo.
Uundaji wa ndege umeanza
Uundaji wa magari umeanza
Uundaji wa matrekta umeanza
Kutengeneza wa vioo umeanza nk nk.
Hawajamaanisha hiyo n ya abiriaBora nipande boda tu kuliko hicho kindege
Ukisikia wivu rasmi wakike ndio huu sasa.Anzisha wewe hicho kiwanda serikali haijakuzuia
Huyo mwenye ndege ni mfanyabiashara binafsi ndie kutengeneza
Sasa unamkodolea macho kama unaons fursa si utengeneze wewe upate pesa