Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Imeungwanishwa tu
Halafu naona kuna mzungu na atakuwa ndio katika ma engineer na sio Maulidi Kitenge kwa hiyo usiogope uwe na amani
Viwanda vingi kwa taarifa ni assembly mfano wewe binafsi unashindwa nini kuanzisha kiwanda cha ku assemble baiskeli?

Minyororo ya baiskeli ,taa,tairi viti vya kukukalia vya baiskeli vinauzwa madukani.Mabomba tunayo ,mafundi bomba na welding tunao wa kuweza kutengeneza yale mabomba ya baiskeli ili u a semble hivyo umenunua unashidwa nini?
Pili engineer wa nje kazi yake kuachia knowledge wazawa shida yako nini?.

Hako.ka kingereza kako tu ka goodmorning mzungu ndie alikuja kwanza akafunza watu weusi wakajua ndio na wewe ukaambulia
 
Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuanza safari za ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, aina ya Skyleader 600. Mkurugenzi wa AAL, Bw. David Grolig, alisema ndege moja imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kama sehemu ya uzinduzi.
Grolig alithibitisha kuwa kampuni yao imepata kibali cha mamlaka husika baada ya kuthibitisha ubora wa ndege hizo, ambazo ni za kisasa na zina viwango vya kimataifa. Ndege hizi, zikiwa na uwezo wa kubeba abiria wawili pamoja na rubani, ni suluhisho bora la usafiri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
AAL, kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza ndege za aina hii, imetengeneza ndege hizi kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Gharama za kununua ndege hizo ni nafuu kama kumiliki gari. Ndege hizo pia zilioneshwa katika Maonyesho ya Watengenezaji wa Bidhaa ya Tanzania (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ndege hiyo aina ya Skyleader 600,kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) kwa mara ya kwanza katika historia.
Mwenyekiti wa CCM ataenda lini kuzizindua?
 
Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuanza safari za ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, aina ya Skyleader 600. Mkurugenzi wa AAL, Bw. David Grolig, alisema ndege moja imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kama sehemu ya uzinduzi.
Grolig alithibitisha kuwa kampuni yao imepata kibali cha mamlaka husika baada ya kuthibitisha ubora wa ndege hizo, ambazo ni za kisasa na zina viwango vya kimataifa. Ndege hizi, zikiwa na uwezo wa kubeba abiria wawili pamoja na rubani, ni suluhisho bora la usafiri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
AAL, kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza ndege za aina hii, imetengeneza ndege hizi kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Gharama za kununua ndege hizo ni nafuu kama kumiliki gari. Ndege hizo pia zilioneshwa katika Maonyesho ya Watengenezaji wa Bidhaa ya Tanzania (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ndege hiyo aina ya Skyleader 600,kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) kwa mara ya kwanza katika historia.
Mafanikio haya ni matokeo ya sera nzuri za Rais Samia za kuvutia wawekezaji na sekta binafsi.

Tanzania ya Viwanda is real sio porojo.

Uundaji wa ndege umeanza

Uundaji wa magari umeanza

Uundaji wa matrekta umeanza

Kutengeneza wa vioo umeanza nk nk.
 
Mafanikio haya ni matokeo ya sera nzuri za Rais Samia za kuvutia wawekezaji na sekta binafsi.

Tanzania ya Viwanda is real sio porojo.

Uundaji wa ndege umeanza

Uundaji wa magari umeanza

Uundaji wa matrekta umeanza

Kutengeneza wa vioo umeanza nk nk.
Unawashwa ww siyo bure

Nilichouliza umekifahamu
Nilitaka kujua kuhusu ivo vi mini airbus
Nan anatengeneza
Kampuni la ndani au wawekezaji
Ni vya kazi gan hivo vya abiria au vya kusafirishia chanjo
details kama izo
Siyo upige campan hapa
 
Anzisha wewe hicho kiwanda serikali haijakuzuia

Huyo mwenye ndege ni mfanyabiashara binafsi ndie kutengeneza

Sasa unamkodolea macho kama unaons fursa si utengeneze wewe upate pesa
Ukisikia wivu rasmi wakike ndio huu sasa.
 
Back
Top Bottom