Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuanzisha kiwanda kidogo cha kuunganisha sio tatizoViwanda vingi kwa taarifa ni assembly mfano wewe binafsi unashindwa nini kuanzisha kiwanda cha ku assemble baiskeli?
Minyororo ya bsiskeli ,taa,tairi viti vya kukukalia vya baiskeli vinauzwa madukani.Mabomba tunayo ,mafundi bomba na welding tunao wa kuweza kutengeneza yale mabomba ya baiskeli ili u a semble hivyo umenunua unashidwa nini?
Pili engineer wa nje kazi yake kuachia knowledge wazawa shida yako nini?.
Hako.ka kingereza kako tu ka goodmorning mzungu ndie alikuja kwanza akafunza watu weusi wakajua ndio na wewe ukambulia
Tatizo ni usimamizi, hivi hujiulizi kwanini viwanda vikubwa nje wanawekeza China, Bangladesh, Taiwan, Turkey na hata kenya
