uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
Singida banaNasubiri meli ya kwanza itengenezewe katavi
Meli mbona zinatengenezwa Tanzania na kampuni ya kitanzaniaNasubiri meli ya kwanza itengenezewe katavi
Hamisi Mimi nilikuwa Staki Shule, huko nimefikaje ?Hongereni sana
namuona chief aeronautical engineer Lloyd Munroe , wa nne toka kulia
watoto wa Azzan Zungu huwa wako humble hawana majivunohuko nimefikaje
I see! Ndege kutengenezewa Morogoro,na kampuni ya waluguru!Meli mbona zinatengenezwa Tanzania na kampuni ya kitanzania
Katavi wanatengeneza RadiNasubiri meli ya kwanza itengenezewe katavi
Napenda kujua yafuatayo:
1. Je, ndege hii ilibuniwa(Designed) na watanzania? Au ni existing design ya muda mrefu?
2. Je, vifaa vya kuundia ndege vimetengenezwa Tanzania? Au tumeAssemble tu?
3. Je, kampuni iliyotengeneza inamilikiwa na watanzania?
Ahsante..
Moreen kamaliza Hadi akili dah.watoto wa Azzan Zungu huwa wako humble hawana majivuno
hongera Engineer