Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Wawape wizara y kilimo kwa Ajili ya kumwagia sumu za nzige
 
Unakataa ukweli kwamba wazungu ndio wametengeneza hiyo ndege?

Hiyo "Made in Tanzania" ni location tu, Lakini utaalamu wote ni wa mzungu na aliyetengeneza ni mzungu.

Mnachoweza watanzania wengi kama wewe ni unafiki, uchawa na kujipendekeza kwa viongozi wenu.
Kwani hujaona simu ya Samsung made in China cha ajabu nini mjinga wewe.

Kinachoongaliwa ni wapi cheap labour na materials waweza pata na mambo ya logistics nk

China bidhaa kibao brand za Ulaya na America ni made in China
Wewe utakuwa vile vichadema vijinga jinga havijui hata private sector inavyo operate halafu unakuta vinabweka ohh tunataka kushika nchi nyooo kwa upumbavu huo nani awape

Ikiwa made in Tanzania na inatengenezwa na wazungu shida nini? Kodi na ajira na pesa za kigeni twapata sisi vikiwa exported sababu ni resident company una akili wewe? Na hao mabwege wenzio wa Chadema
 
Kuonyesha uzalendo mama awe anafanya nayo ziara mbalimbali.
 
Unakataa ukweli kwamba wazungu ndio wametengeneza hiyo ndege?

Hiyo "Made in Tanzania" ni location tu, Lakini utaalamu wote ni wa mzungu na aliyetengeneza ni mzungu.
Mzungu utaalamu amepata kutoka kwa Mwaarabu. Hesabu Amejifunza kwa Mwarabu.

Itoshe kusema hata maandiko yaani written language ilivumbuliwa na Wamisri(Waafrika), Sumerians(Waarabu) wachina ma Mayans.
Mnachoweza watanzania wengi kama wewe ni unafiki, uchawa na kujipendekeza kwa viongozi wenu.
☝🏿
Na wewe unachoweza ni kutukuza Wazungu tu. Kwanini unahangaika hapa na Waafrika? Kwamba una huruma sana?

Hakuna kosa lelote lile, iwe kwa sheria or any moral ground kuwa mnafiki, chawa ama kujipendekeza kwa kwa Viongozi wetu.
 
usalama kwa vingozi ni muhimu ndugu
Kupewa leseni ya ndege kuruka na shirika la anga la kimataifa unadhani ni kitu rahisi? Tatizo lako you are too local ni wale akina nilizaliwa Tanzania nitafia Tanzania na nikifa nizikeni Tanzania kijijini kwetu kwa ma mabibi na mababu hopeless kisa kaajira uchwara kalikokuwezesha kupata Kigali mtumba toka majalalani japan

Nje huko unaunda ndege yako hata nyumbani inapewa leseni kama yaweza kuwa vizuri kwa viwango vya kimataifa kuwa iruke

Exposure yako ndogo mno axha mambo ya hizo ndege tuongee wenye Exposure wewe ongelea mambo ya kuruka na ungo wa bibi yako

Hii mada kaa nayo mbal8 sio ya kiwango cha IQ yako
 
Hiyo ndege kwa sababu ni ya serikali iwachukue walioitengeneza
Sio ya serikali ni kampuni binafsi imetengeneza na kupata vibali vyote kutoka shirika la anga la kimataifa kuwa ruksa kuruka kwenda popote

Hujasoma kuwa watengenezaji nani? Pombe sio chai OKOKA wewe
 
Kupewa leseni ya ndege kuruka na shirika la anga la kimataifa unadhani ni kitu rahisi? Tatizo lako you are too local ni wale akina nilizaliwa Tanzania nitafia Tanzania na nikifa nizikeni Tanzania kijijini kwetu kwa ma mabibi na mababu hopeless kisa kaajira uchwara kalikokuwezesha kupata Kigali mtumba toka majalalani japan

Nje huko unaunda ndege yako hata nyumbani inapewa leseni kama yaweza kuwa vizuri kwa viwango vya kimataifa kuwa iruke

Exposure yako ndogo mno axha mambo ya hizo ndege tuongee wenye Exposure wewe ongelea mambo ya kuruka na ungo wa bibi yako

Hii mada kaa nayo mbal8 sio ya kiwango cha IQ yako
nazungumzia usalama wa viongozi haya ya ungo yanakujaje hapa
 
Hongera kwao. Ila chonde chonde. Wasiiandike hapa kazi tu, au anaupiga mwingi. Au kazi iendelee. Maana wataitia uchuro.
 
Hebu ona sasa! tumeweza Ndege lakini pikipiki hadi zitoke China.
Bajaji Tsh 10M now. Ifike wakati sasa Serikali ilazimishe ujengaji wa viwanda vya kuAssemble kwa kuanzia boda na pikipiki
 
nazungumzia usalama wa viongozi haya ya ungo yanakujaje hapa
Usalama wa ndege hata hizo wanapanda unathibitishwa na shirika la anga la kimataifa iwe air Tanzania au ndege ya raisi yeyote duniani iwe imetengenezwa locally au Internationally local brand au International brand

Usidhalilishe hiyo imetengenezwa locally ina International certification na leseni ya kuruka sawa tu ba ndege yeyote iwe ATCL, Kenya Airways au ndege ya raisi yeyote popote duniani

Mamlaka zilizoruhusu na kutoa hizo leseni hizo ndege ziruke ndizo zilizitoa hiyo leseni ndege za mtanzania mwenzetu ziruke

Sio kwamba zake ni inferior no zina viwango vya kimataifa
 
Mtoa hoja kuna vitu viwili hapa
a) Manufacturer
b) Assemble.

Sisi tymefanya assemble, acha kutupatia mafanikio ambayo hatustahili
 
Back
Top Bottom