Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Bora wavune hao nzige tuwapack kama senene tuwale.... unatiaje sumu msosi!!?Wawape wizara y kilimo kwa Ajili ya kumwagia sumu za nzige
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wavune hao nzige tuwapack kama senene tuwale.... unatiaje sumu msosi!!?Wawape wizara y kilimo kwa Ajili ya kumwagia sumu za nzige
hata boeing hawatengenezi engine, wanatoa specs tu kwa watabe wa hzo mambo wanaundiwainjini zake zinaundwa hapohapo au wanaaagiza nje hapa kwetu wanatengeneza mabodi tu.!?
Kwanin imeandikwa made in Tanzania acheni mawazo ya kinyonge ,chuma imesukwa hapa hata boeing wananunua parts kutoka makampuni mengineWanafanya assembly tu nimeiona hii habari kwenye the Citizen.
Ni mwanzo mzuri
Wataamua wao kuzika ama kusafirishaBora wavune hao nzige tuwapack kama senene tuwale.... unatiaje sumu msosi!!?
bado hujanielewa nikizungumzia usalama wa kiongozi wa nchi nduguUsalama wa ndege hata hizo wanapanda unathibitishwa na shirika la anga la kimataifa iwe air Tanzania au ndege ya raisi yeyote duniani iwe imetengenezwa locally au Internationally local brand au International brand
Usidhalilishe hiyo imetengenezwa locally ina International certification na leseni ya kuruka sawa tu ba ndege yeyote iwe ATCL, Kenya Airways au ndege ya raisi yeyote popote duniani
Mamlaka zilizoruhusu na kutoa hizo leseni hizo ndege ziruke ndizo zilizitoa hiyo leseni ndege za mtanzania mwenzetu ziruke
Sio kwamba zake ni inferior no zina viwango vya kimataifa
Mbona huyo mwarabu teknolojia yake imebaki chini kulinganisha na ya mzungu?Mzungu utaalamu amepata kutoka kwa Mwaarabu. Hesabu Amejifunza kwa Mwarabu.
Baada ya kugundua mmefika wapi wa hivi?Itoshe kusema hata maandiko yaani written language ilivumbuliwa na Wamisri(Waafrika), Sumerians(Waarabu) wachina ma Mayans.
Na wewe kinacho kuuma nikitukuza wazungu ni nini?☝🏿
Na wewe unachoweza ni kutukuza Wazungu tu. Kwanini unahangaika hapa na Waafrika? Kwamba una huruma sana?
Hata kwangu hakuna kosa lolote lile kuwasifia wazungu.Hakuna kosa lelote lile, iwe kwa sheria or any moral ground kuwa mnafiki, chawa ama kujipendekeza kwa kwa Viongozi wetu.
Fala wewe kuna sehemu nimeongelea wachina?Kwani hujaona simu ya Samsung made in China cha ajabu nini mjinga wewe.
Unaongeza vikolombwezo vyako ambayo hata sija viongelea.Kinachoongaliwa ni wapi cheap labour na materials waweza pata na mambo ya logistics nk
China bidhaa kibao brand za Ulaya na America ni made in China
Wewe utakuwa vile vichadema vijinga jinga havijui hata private sector inavyo operate halafu unakuta vinabweka ohh tunataka kushika nchi nyooo kwa upumbavu huo nani awape
Utaalamu ni wa mzungu sio wa wajinga kama wewe.Ikiwa made in Tanzania na inatengenezwa na wazungu shida nini? Kodi na ajira na pesa za kigeni twapata sisi vikiwa exported sababu ni resident company una akili wewe? Na hao mabwege wenzio wa Chadema.
Wewe mwenyewe bwege demokrasia tu unaiga ya wazungu chawa wa wazungu kwa kila kitu utafikiri ulizaliwa kichwani hakuna hata chembe ya ubongo kila kitu kuabudu na kusifu wazungu hivi mama yako hakukuzaa hata na chembe kidogo ya akili kichwani.Mpe pole mama yako kwa kuzaa jitu ambalo linaamini wazungu tu ndio wana akili copy ya pole melee baba yako kama unaye kama hukuokotwa jalalani kuwa humjui hata baba yakoFala wewe kuna sehemu nimeongelea wachina?
Nimekwambia hivi, Hiyo ndege hajatengeneza mtanzania.
Katengeneza mzungu akiwa Tanzania.
Unaongeza vikolombwezo vyako ambayo hata sija viongelea.
Wewe mwehu nini?
Utaalamu ni wa mzungu sio wa wajinga kama wewe.
Mnachoweza nyie ni uchawa na kujipendekeza, Nyang'au wewe.
Hata simu unayotumia hapa kuandika huu ushubwada wako ni ya huyohuyo mzungu.Wewe mwenyewe bwege demokrasia tu unaiga ya wazungu chawa wa wazungu
Baba yako bora angemwaga mbegu zake chooni kuliko kuzaa litahira kama wewe ambaye teknolojia unatumia ya mzungu halafu unajifanya kwamba unaweza kila kitu pasipo haokwa kila kitu utafikiri ulizaliwa kichwani hakuna hata chembe ya ubongo kila kitu kuabudu na kusifu wazungu hivi mama yako hakukuzaa hata na chembe kidogo ya akili kichwani.Mpe pole mama yako kwa kuzaa jitu ambalo linaamini wazungu
Kinyamkera wewe acha kutumia teknologia ya mzungu uone kama utaishi.tu ndio wana akili copy ya pole melee baba yako kama unaye kama hukuokotwa jalalani kuwa humjui hata baba yako
Waafrika ndio wanaoongoza kwenye maarifa na teknolojia ya Bio-degradableKwa sasa hivi, Kipi mnachozidi mzungu kwenye teknolojia?
Hata mahirika makubwa yanaassemble tu. Unakuta Engine ya Royce Rolls, kile cha Siemens, kile cha phillips . . . . nk nk. Unakuta maelfu ya makampuni kutoka nchi mbali mbali yamechangia vitu kuunda ndege moja.Mtoa hoja kuna vitu viwili hapa
a) Manufacturer
b) Assemble.
Sisi tymefanya assemble, acha kutupatia mafanikio ambayo hatustahili
Vyovyote, kikubwa imetengenezwa TzKwani ikiwa ni mtz kuna shida gani? Au hatuaminiani mkuu?
Yan Tanzania bado tuko nyuma kwa miaka 94 Yan hivi wenzetu mambo waliyofanya 1930 ndo tunafanya Leo 2024Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuanza safari za ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, aina ya Skyleader 600. Mkurugenzi wa AAL, Bw. David Grolig, alisema ndege moja imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kama sehemu ya uzinduzi.
Grolig alithibitisha kuwa kampuni yao imepata kibali cha mamlaka husika baada ya kuthibitisha ubora wa ndege hizo, ambazo ni za kisasa na zina viwango vya kimataifa. Ndege hizi, zikiwa na uwezo wa kubeba abiria wawili pamoja na rubani, ni suluhisho bora la usafiri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
AAL, kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza ndege za aina hii, imetengeneza ndege hizi kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Gharama za kununua ndege hizo ni nafuu kama kumiliki gari. Ndege hizo pia zilioneshwa katika Maonyesho ya Watengenezaji wa Bidhaa ya Tanzania (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ndege hiyo aina ya Skyleader 600,kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) kwa mara ya kwanza katika historia.
siyo mbaya shida ni kusimamaYan Tanzania bado tuko nyuma kwa miaka 94 Yan hivi wenzetu mambo waliyofanya 1930 ndo tunafanya Leo 2024