Hili ndilo tunataka tulielewe haswaaSasa Waeleze hivi"ndege ina uwezo wa kuzurura angani ikiwa na injini moja,nzima ingine mbovu."
Inaweza.Nimesoma maelezo yako toka mwanzo.
Sasa Waeleze hivi"ndege ina uwezo wa kuzurura angani ikiwa na injini moja,nzima ingine mbovu."
Hiki ndicho kinachotufikirisha.
Ndege ina uwezo wa kuendelea na safari iwapo engine moja itapata tatizo, na inaweza kutua kwa kutumia engine moja. Kwanini haikutua Dodoma na hio engine moja tungoje wataalam. Inawezekana uwanja wa Dodoma hauko well equipped for emergency landing kuliko Dar. Im just thinking.
inatafuta watu wa kuondoka nayo.Hii kampuni itakufa kiutani utani
na ndio maana waliweka Engine Mbili ili moja ikipata hitilafu nyingine ifanye kazi kwa muda wakati inatafuta msaada wa kutua kwa dharula,mwaka 2008 niliwahi kusafiri na Ndege ndogo ya kukodi kutoka Dar kwenda Mtwara kikazi nikiwa na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Robert Mboma,tukiwa angani ndege ile ndogo ikapata hitilafu na Pilot alikuwa Mzungu,akawa anajaribu kusolve tatizo lakini anashindwa[emoji134]bahati nzuri Jenerali Mboma ni Pilot mzuri sana na alikuwa amekaa pembeni kidogo ya Pilot,akaishusha Mtwara vizuri lakini ManuallyNimesoma maelezo yako toka mwanzo.
Sasa Waeleze hivi"ndege ina uwezo wa kuzurura angani ikiwa na injini moja,nzima ingine mbovu."
Hiki ndicho kinachotufikirisha.
Hii ni ile iliyoshindwa kutua KIA mwaka jana kwa tatizo hilohilo?Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Technically Dar imetua salama kwa kuwezeshwa na nini wakati Dodoma imeshindikanaNdege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
Mbona hilo si tatizo.Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
"Hanger" aka Gereji ya Ndege ipo Dar, kwahiyo Rubani hawezi kuacha "Dege bovu" dodoma kwa maana gharama ya kulikarabati inaweza kuwa sawa na kuiza kama angeiacha huko Dodoma. Halafu pia kama Rubani amejiridhisha kuxhukua uamuzi huo inakubalika ulimwenguni kote..Inakuwaje ishindwe kutua Dodoma lakini ikaja kutua Dar? Logic ni nini kurudi dar na kutua? why isitue huko huko dom?
Ficha Ujinga wakoHuduma ya Ndege kutua kwa Engine moja haipatikani Uwanja wa DODOMA maana ni kiwanja kidogo hivyo ilikuwa ni lazima irudi Dar Kwa Usalama zaidi,full stop
Hapa watwambie Hali ya hewa,Kwan iliporud Dar injini ndio ikawa fresh au nn zaid,naomba elimu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Precision nao sasa wajiangalie...Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
Uwanja wa Dar ni mkubwa, una miundombinu kibao, ambulance kibaoKwan iliporud Dar injini ndio ikawa fresh au nn zaid,naomba elimu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app