Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Tatizo siyo tu kuzima bali ni nini kimefanya ikazima na ni nini kitafuata. Ni kweli ndege zenye injini mbili zina uwezo kabisa wa kuruka na injini moja bila tatizo lakini unapoona injini imezima inaweza kuwa matokeo ya multiple instruments failure au moto au janga jingine. Hapo ndiko kwenye shida.
Safi mkuu, kama tatizo ni engine inaungua, pilot's wana switch off Ile engine na kuanza kuangalia what's the nearest airport watue, kama ni sababu nyingine marubani watajitahidi kuiwasha Ile engine kwa kutumia check list yao ya jinsi ya kuwasha engine, that's why hata wewe kabla hujaanza safari ya gari pls check kwanza !, wangapi humu madereva huwa kabla hujaingia ndani ya gari yako kuangalia uvunguni?, I bet you no one's ila ni sheria muhimu kuangalia kwanza chini ya gari kuna nini
 
Inawezekana huyu dogo wa kutoka ubeberuni asingewaambia abiria wa kibongo kuwa injini moja imezima rubani angeforce kulifikisha dude Dar
Hizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.

Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.

Jinga sana yule jamaa.
 
Inawezekana huyu dogo wa kutoka ubeberuni asingewaambia abiria wa kibongo kuwa injini moja imezima rubani angeforce kulifikisha dude Dar
Sipendi kaa upande wa engine maana ikizima tu wajua
 
Hizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.

Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.

Jinga sana yule jamaa.
Itakuwa aliweka mafuta mchuzi juu ndio maana alijua kidumu kitamfikisha tu.
 
Safi mkuu, kama tatizo ni engine inaungua, pilot's wana switch off Ile engine na kuanza kuangalia what's the nearest airport watue, kama ni sababu nyingine marubani watajitahidi kuiwasha Ile engine kwa kutumia check list yao ya jinsi ya kuwasha engine, that's why hata wewe kabla hujaanza safari ya gari pls check kwanza !,wangapi humu madereva huwa kabla hujaingia ndani ya gari yako kuangalia uvunguni?,I bet you no one's ila ni sheria muhimu kuangalia kwanza chini ya gari kuna nini
Ile ndege ya iliyobeba Wana Chipolopolo iliungua engine moja, rubani katika kuokoa jahazi alikusudia kuzima engine hiyo, kwa bahati mbaya alizima ile engine nzima daah. RIP Moses Chikwalakwala, Wisdom Chansa, John Soko, Numba Mwila, Eston Mulenga, David Chabala, Kelvin Mutale, Godfrey Chitalu, Alex Chola, Peter Mwanza na wenzenu. Hii ndege imenikumbusha nyuma kidogo.
 
Ile ndege ya iliyobeba Wana Chipolopolo iliungua engine moja, rubani katika kuokoa jahazi alikusudia kuzima engine hiyo, kwa bahati mbaya alizima ile engine nzima daah. RIP Moses Chikwalakwala, Wisdom Chansa, John Soko, Numba Mwila, Eston Mulenga, David Chabala, Kelvin Mutale, Godfrey Chitalu, Alex Chola, Peter Mwanza na wenzenu. Hii ndege imenikumbusha nyuma kidogo.
It's sad mkuu, ndio maana huyu pilot alikuwa byeee sana maana ni human nature ku panic na matokeo yake yanakuaga sio mazuri, ndege ya chipolopolo(Buffalo)Ile ndege ilishaleta matatizo wakati inafanya safari za ndani ila wakapuuzia na matokeo yake ni maafa makubwa, binafsi ninapo drive Ile cairo road ndani ya Lusaka huwa nawakumbuka sana,na nimebahatika kufika pale kwenye cemetery ni huzuni kubwa, why Ile team hawakutumia more comfortable plane ya Zambia airways?
 
Hizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.

Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.

Jinga sana yule jamaa.
Huyo hakuwa pilot bali bodaboda aliyechangamka
 
Ndege ya engine mbili ikizima engine moja huwa haina shida kabisa, huwa zinatua uwanja ulio karibu ili kuepuka endapo engine iliyobakia inaweza kuzima pia. Ila ndege inaweza kuruka na engine moja na ikatua salama kabisa
 
Safi mkuu, kama tatizo ni engine inaungua, pilot's wana switch off Ile engine na kuanza kuangalia what's the nearest airport watue, kama ni sababu nyingine marubani watajitahidi kuiwasha Ile engine kwa kutumia check list yao ya jinsi ya kuwasha engine, that's why hata wewe kabla hujaanza safari ya gari pls check kwanza !,wangapi humu madereva huwa kabla hujaingia ndani ya gari yako kuangalia uvunguni?,I bet you no one's ila ni sheria muhimu kuangalia kwanza chini ya gari kuna nini
Kila engine ina kifaa cha kuzimia moto
 
Baada ya muda huo, ndege hiyo ilitua salama katika uwanja huo na abiria walishangilia. Wengine walipiga kofi, wengine wakipiga kelele za shangwe na wengine wakimshukuru Mungu.
Wengine walijiona ni mashujaa
 
Mmoja wa abiria aliyekuwamo ndani ya ndege hiyo, Simon Mkina, aliandika katika ukurasa wake wa Twitter na taarifa hiyo kusambaa dunia nzima, huku akipongezwa kwa kutoa taarifa hiyo mapema.
Nakiona chombo fulani cha vitisho kikiwatafuta tcra wamsake mtoa habari
 
Back
Top Bottom