4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
HahahaaaaWamarekani wajinga kweli satellite zake zimekalia kufuatiria ndege za abilia wanashindwa kufuatiria makombora yaliyo haribu kambi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaWamarekani wajinga kweli satellite zake zimekalia kufuatiria ndege za abilia wanashindwa kufuatiria makombora yaliyo haribu kambi zao.
ka wanasema walipika sawa ila mtu hawezi toka aliko lala akasema pasipo ushahidiTupe maoni yako leo hii baada ya Iran kukiri
Kwan lazma amani ichafuliwe kwako ndio ujue kama ime chafuliwa au hio ndege ilo ripuliwa huko IRAN Unaiongelea sana Au Ndege Ya Nchi Yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2]Kakuchafulia amani ya nchi yako?
Au kule Yemen anachafua yeye?
Ndio dogoKwa hiyo wairan waliamua kuwaua wairan wenzao...
Sahivi tu nshakuwa dogo lakoNdio dogo
Lisu hakuwa kwenye state ya kuchagua akatibiwe wapi, alikuwa unconscious.Sasa unataka waipeleke usa? Unachosema ni sawa na lissu angekubali kutibiwa muhimbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwapendi waliotungua ndege yani natamani leo kesho vita itokee nafahamu naweza nikawa sehemu ya watakaokwenda kuleKwan lazma amani ichafuliwe kwako ndio ujue kama ime chafuliwa au hio ndege ilo ripuliwa huko IRAN Unaiongelea sana Au Ndege Ya Nchi Yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimefika
Mkuu rudisha avatar yako tuliyokuzoea umevaa kofiaSiwapendi waliotungua ndege yani natamani leo kesho vita itokee nafahamu naweza nikawa sehemu ya watakaokwenda kule
Mkuu nakushauri punguza ushabiki.
#nilikuwa nakufuatilia tokea mwanzo wa uzi
Ahsante!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni siasa tu, kila kinachofanyika Iran kwa sasa kitatafsiriwa kwa jina baya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wairan waliamua kuwaua wairan wenzao...
Una uhakika gani Iran katungua!watoto wa kwa bibi nyau mna mbwembwe[emoji23]
Hixo ni propaganda za marekani ndege ilikuwa na hiltrafu xa kiufundi ....boing ndege xao sio salama
Wanwmlinda tu asipoteze soko tayari mrusi kaaanza kutengeneza ndege za kubebe abiria
sent from toyota Allex
Sasaivi Iran inaonekana chungu sana aiseee kwa mataifa ya magharibi, Umoja wao ndio ulipowafikisha apa, hongera sana Iran kwa ujasiri uliouonesha, hapa nimejifunza ktk maisha apana kukata tamaa licha ya changamoto unazopitia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnahisi kuwaombea wenzenu mabalaa ndio yatawafika kama mnavyotarajiSiwapendi waliotungua ndege yani natamani leo kesho vita itokee nafahamu naweza nikawa sehemu ya watakaokwenda kule
Dada si ndio wewe