Ndege ya Ukraine ilitunguliwa kwa kombora

Ndege ya Ukraine ilitunguliwa kwa kombora

Punga akigoma kukuletea msaada utaishi hivyo unavyoishi wewe?
.
Huko kuna uhuru wa maisha mtu anaishi anavyotaka sio Bongo unaishi serikali inavyotaka.
Alafu waulize abdool wenzio kwanini wanakimbilia sana Canada

Uhuru wa mashoga utaishia huko huko ulipo na sio tulipo sisi.

Tatizo la mnaojifichia kwny kivuli cha dini mnajua kila anayeitetea Iran ni muislam.

Hilo swali la kukimbiia ungewauliza wakina dada cheupe wenzio huko ulipo,pengine wangekupa jibu muafaka.

Trump hakukosea kuita waafrica ni shitholes,yuko sahihi kabisa fuckin shitholes.

dodge
 
Unafkiri sababu ya Marekani kuingiza mkia koko aoipotawanyiwa zile kambi zake ni nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo baada ya kambi zake kupigwa na makombora ulitaka amobilize Jeshi lake gafla tu after attack? Vita is all about strategies mkuu, it takes a lot to reach a point of "Now I declare a war against Iran"
Chukua kikombe cha kahawa kunywa taratibu ukisubiria hatua itakayofuata. Mambo bado mabichi Sana...
 
Mkuu nakushauri punguza ushabiki katika kutoa hoja au pia chili dhidi ya taiga Fulani katika hoja zako.

Mwanzo ulikaidi kuwa Iran hajatungua ndege na unasema ni propaganda sasa unasmisha mada baada ya kuona Iran wamekiri.
Chunguza kwanza then njoo na hoja na pia Jaribu kusimamia ukweli hata kama haukupendezi ..ikiendelea hivi itafanya watu wa doubt kuhusu uwezo wako wa ku-urgue logical..

Kumbuka si kila jambo litakalotokea litatokea kwa namna ambayo itakupendeza wewe kuna mengine yatatokea kukuumiza au kukukera..sasa usitake kuyabadilisha ili yaonekane namna utakavyopenda(conspiracy theory) kama ulivyojaribu kufanya katika mada hii..na siyo wewe tu mupo wengi humu.

#nilikuwa nakufuatilia tokea mwanzo wa uzi

Ahsante!
Kwa sababu waajemi ndio walioanzisha WW1&WW2 sio?

Sababu pia Waajemi ndio waliopiga mabomu Nagasaki na hiroshima sio?

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee hebu weka hapa post yangu nikisema Iran haijatungua hio ndege.

Ukishindwa ku-prove hilo tuelewane ntakuona Punguani.,sawa?

Mkuu nakushauri punguza ushabiki katika kutoa hoja au pia chili dhidi ya taiga Fulani katika hoja zako.

Mwanzo ulikaidi kuwa Iran hajatungua ndege na unasema ni propaganda sasa unasmisha mada baada ya kuona Iran wamekiri.
Chunguza kwanza then njoo na hoja na pia Jaribu kusimamia ukweli hata kama haukupendezi ..ikiendelea hivi itafanya watu wa doubt kuhusu uwezo wako wa ku-urgue logical..

Kumbuka si kila jambo litakalotokea litatokea kwa namna ambayo itakupendeza wewe kuna mengine yatatokea kukuumiza au kukukera..sasa usitake kuyabadilisha ili yaonekane namna utakavyopenda(conspiracy theory) kama ulivyojaribu kufanya katika mada hii..na siyo wewe tu mupo wengi humu.

#nilikuwa nakufuatilia tokea mwanzo wa uzi

Ahsante!

Sent using Jamii Forums mobile app



dodge
 
Hatua itakayofuata,
Kwahiyo baada ya kambi zake kupigwa na makombora ulitaka amobilize Jeshi lake gafla tu after attack? Vita is all about strategies mkuu, it takes a lot to reach a point of "Now I declare a war against Iran"
Chukua kikombe cha kahawa kunywa taratibu ukisubiria hatua itakayofuata. Mambo bado mabichi Sana...
tapatalk_1578553239033.jpeg


dodge
 
Uhuru wa mashoga utaishia huko huko ulipo na sio tulipo sisi.

Tatizo la mnaojifichia kwny kivuli cha dini mnajua kila anayeitetea Iran ni muislam.

Hilo swali la kukimbiia ungewauliza wakina dada cheupe wenzio huko ulipo,pengine wangekupa jibu muafaka.

Trump hakukosea kuita waafrica ni shitholes,yuko sahihi kabisa fuckin shitholes.

dodge
Aliwaita viongozi wa africa au waafrica wote?
Muwe na taarifa sahihi hata mara moja moja
 
Back
Top Bottom