superkabisa
Member
- Oct 13, 2019
- 67
- 49
Waziri mkuu wa canada Justin Trudeau amezungumza na wanahabari na kuweka wazi kuna ushahidi wa video ambao unaonesha kuwa ndege ya UKraine Boeng 737 PS752 iliyoanguka Iran ilitunguliwa na makomboro ya Wairan na watu 176 kufariki dunia.
Canada ni moja ya nchi iliyopoteza watu wengi 63 ukiacha Ukraine watu 11,Sweden 10,4 Waafghastan,Wajerumani watatu na Waingireza watatu.
Ameungwa Mkono na Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson na kusema wanafanya kazi na Canada kwa ukaribu ili kuweza kuchunguza mambo kiuwazi zaidi kuhusu makombora ya Iran yaliyotungua ndege.
Ijapokuwa Iran sasa hawana cha kuhofia lakini video hii kama ikiongeza ushawishi na kuaminika basi watakuwa wamejifunga wenyewe kwa bao la mkono kwani Wairani wengi wameteketea katika tukio hili ambalo kw atasfri yake ni mauji yasiyo na hatia
Mdahalo umekuwa mkubwa wengine wakisema makombora hayo kutungua ndege hiyo ni makosa yaliyofanywa na jeshi la Iran na haikuwa lengo lao kwani watu waliokufa wengi ni wairan 82
Imani kubwa Irani wapo makini sana kwenye usalama walijua taarifa zote kuhusu abiria waliomo ndani,Inawezekana wakati wanafanya mashambulizi katika kambi za jeshi za marekani Iraq wakakosea hesabu zao.
Wengine wanasema walishambulia kwa kusudi huenda walipata taarifa za kintelejesia dakika za mwisho kuwa kuna watu muhimu wa watesi wao Marekani kuwamaliza haraka ni kuwatia msumari wa moto moyoni.
chini hapo kuna video
Canada ni moja ya nchi iliyopoteza watu wengi 63 ukiacha Ukraine watu 11,Sweden 10,4 Waafghastan,Wajerumani watatu na Waingireza watatu.
Ameungwa Mkono na Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson na kusema wanafanya kazi na Canada kwa ukaribu ili kuweza kuchunguza mambo kiuwazi zaidi kuhusu makombora ya Iran yaliyotungua ndege.
Ijapokuwa Iran sasa hawana cha kuhofia lakini video hii kama ikiongeza ushawishi na kuaminika basi watakuwa wamejifunga wenyewe kwa bao la mkono kwani Wairani wengi wameteketea katika tukio hili ambalo kw atasfri yake ni mauji yasiyo na hatia
Mdahalo umekuwa mkubwa wengine wakisema makombora hayo kutungua ndege hiyo ni makosa yaliyofanywa na jeshi la Iran na haikuwa lengo lao kwani watu waliokufa wengi ni wairan 82
Imani kubwa Irani wapo makini sana kwenye usalama walijua taarifa zote kuhusu abiria waliomo ndani,Inawezekana wakati wanafanya mashambulizi katika kambi za jeshi za marekani Iraq wakakosea hesabu zao.
Wengine wanasema walishambulia kwa kusudi huenda walipata taarifa za kintelejesia dakika za mwisho kuwa kuna watu muhimu wa watesi wao Marekani kuwamaliza haraka ni kuwatia msumari wa moto moyoni.
chini hapo kuna video