Ndege ya Ukraine ilitunguliwa kwa kombora

Ndege ya Ukraine ilitunguliwa kwa kombora

Kipande cha 'video' kinachoonekana kuonesha wakati ambapo ndege ya Ukraine ilipotunguliwa na kombora.

====

NEW: A newly surfaced video appears to show the moment a Ukrainian airliner was hit by a missile before crashing not far from Iran's airport in Tehran on Wednesday.



 
Hawakulenga ndege. Makombora yalitumwa kwenda Iraq,bahati mbaya yalipitia path ya Ndege. Too Sad.
It's likely, mfumo wa ulinzi wa anga (Missile Defense System) ulifyatua kombora kimakosa na hivyo kuitungua ndege na si makombora yaliyokuwa yakielekezwa kwenda Iraq.
 
Hixo ni propaganda za marekani ndege ilikuwa na hiltrafu xa kiufundi ....boing ndege xao sio salama

Wanwmlinda tu asipoteze soko tayari mrusi kaaanza kutengeneza ndege za kubebe abiria

sent from toyota Allex
hizo ni propaganda za marekani na washirika wake na baadhi ya vibaraka wake. ndege hiyo haiwezi gundulika kwa asilimia 100 kuwa ilipigwa na bomu ama la mpaka kibox cheusi kiweze patikana
Swala la iran ku kataa kuwapa marekani kibox hicho mie binafsi naona ni jambo la kawaida maana adui yako huwezi mfanyia vile anataka lazima umwonyeshe kiburi na nguvu zako.

yote kwa yote vita si nzuri hata
Kabla hatujasema kuwa ni propaganda za Marekani kwanza tuyazingatie mambo yafuatayo;

Ndege ya Ukraine ilikuwa na miaka tatu tu, na ilikuwa imefanyiwa ukaguzi wa kiusalama hivi karibuni (siku mbili kabla ya ajali). Ni hitilafu za namna gani zilizopelekea kuwaka moto kwa ndege hiyo na kisha kulipuka? Isitoshe mawasiliano yalikatika ghafla, jambo linalozua maswali mengi ya kiufundi kuhusu hiyo hitilafu unayoisema.

Kuna ushahidi wa picha za mabaki ya kombora hilo pamoja na video inayoonekana kuonesha jinsi ndege hiyo ilivyotunguliwa na kombora. Video pamoja na picha nimekwisha post humu.

Kitendo cha Ubalozi wa Ukraine nchini Iran kuonekana kufuta taarifa ya hapo awali iliyokataa kuhusisha ajali hiyo na tukio la kigaidi ama shambulio la roketi, kinaleta maswali mengi na mpaka sasa tayari nchi kama Canada pamoja na Ukraine yenyewe inakubali kuwa kuna uwezekano wa ndege hiyo kutunguliwa.
 
Iran wapumbavu sana!

Wamekuwa waoga mpaka wanashambulia ndege za abiria wakidhani ni attack kutoka kwa mmarekani!

Hivi huyu mtu ndio ataweza kupigana vita na US, kweli?!
 
BREAKING: Iran official denies missile hit Ukrainian plane; calls on US, Canada to release data backing missile-strike allegation.

More news to come.
 
BREAKING: An Iranian official has said it could take "one or two years" to complete the investigation into the plane crash of a Ukrainian airliner outside Tehran.

France ready to contribute to Ukrainian jet crash probe: minister. [Reuters]
 
BREAKING: U.S. to join probe of Ukrainian jet disaster that killed 176. [Reuters]

JUST IN: NATO’s missile defense system in Romania monitored Iran’s attack: Sec. Gen. [Al-Masdar News]
 
Big YEs
hizo ni propaganda za marekani na washirika wake na baadhi ya vibaraka wake. ndege hiyo haiwezi gundulika kwa asilimia 100 kuwa ilipigwa na bomu ama la mpaka kibox cheusi kiweze patikana
Swala la iran ku kataa kuwapa marekani kibox hicho mie binafsi naona ni jambo la kawaida maana adui yako huwezi mfanyia vile anataka lazima umwonyeshe kiburi na nguvu zako.

yote kwa yote vita si nzuri hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom