Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Sio ATCL?Wametumia Ethiopia airline
Mbona tuliambiwa tunanunua madege ili watalii wetu wasipitie Kenya maana wanabakiaga huko.
.
Na aim yetu ni kufikisha watalii 10 million woiii 😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ATCL?Wametumia Ethiopia airline
Nimekuelewa bwashee!Tuwe waangalifu kushangilia sana ujio wa hawa watalii; ingawa tumejiaminisha kuwa tumeithibiti corona inawezekana kabisa kuwa hawa hawa tunaowaita watalii wakatuletea madhara kwa kutuletea maradhi zaidi na sio corona tu bali virusi vingine wanavyovitengeneza kwenye maabara zao. Tusiwaamini sana hasa wazungu na machina hawatutakii mema waafrika!!
Duh..sasa hivi kila beberu anayekuja tz ni mtalii
Imekuuma sana,pole!!!Lkn bado kina pascal wanakenua kushangilia watalii 200[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jinga Sana wewe. Ulitaka hiyo ndege ibebe watalii million 2 ndo nchi ihangaike? Au hujui million 2 wanapatikanaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza k
Ametumia 5yrs kupambana na upinzani badala ya kupambana na umasikini wetu
Hakyamungu nimepost bila kusoma hii post yako kumbe nawewe umekna Kama Mimi ? Mimi nimeona abiria sita tu au hii ni promo ya kuwaumiza wakenya? Sidhani Kama ita work halafu Bora msingeonyesha hii aibu.
Honestly how many were u abord?I am the one of tourist landing today.
Tanzania is beautiful
Yeyeto lkn si yeye again,tutavuna mabua, ameumiza Makundi yote ktk Jamii,ametumia 5yrs kupambana na watu badala ya kupambana na umasikini wetuMbona unaleta habari nusunusu? Jpm hafai Sasa tuambie Nani anafaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watafanya nini sasa kama siyo propaganda?Kwamba ndege kutua airport na wageni ni habari inayokuwa live? Kwenye TV ya umma. only in Tanzania.
Punguza kulala kiongoziKwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
acha wivu wa kikeKwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
Kwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
Hujui kama kuna janga la Corona?Nchi iliyokua inategemea watalii milioni 2 leo inashangilia watalii mia 2, aisee.
Wasukuma mnatabu sana...Mkuu unaongea kutoka wapi ufipa au marangu
Mbaya zaidi wote wenye mawazo tofauti na yeye au gvt wanaitwa wasaliti sio wazalendo vibaraka wa mabeberu ameligawa taifa kwelikweli sio uongo.nchi yetu sote lakini eti wengine wanageuka wasaliti kisa hawakubaliani na vipaumbele yake.Yeyeto lkn si yeye again,tutavuna mabua, ameumiza Makundi yote ktk Jamii,ametumia 5yrs kupambana na watu badala ya kupambana na umasikini wetu