Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari akagombee tu udiwani Chato ndo atawezapata hakuna mjinga atakubali kuumizwa 5yrs againMbaya zaidi wote wenye mawazo tofauti na yeye au gvt wanaitwa wasaliti sio wazalendo vibaraka wa mabeberu ameligawa taifa kwelikweli sio uongo.nchi yetu sote lakini eti wengine wanageuka wasaliti kisa hawakubaliani na vipaumbele yake.
Honestly how many were u abord?
Huo upumbavu mnaoushangilia unawafaa ninyi panyabuku wa lumumba! Yaani mnokosa aibu na hata Soni hamuoni! Hao watalii 200 waliingiaje kwenye ndege ya kubeba watu wasiozidi 170? Au wengine walisimama baada ya kukosa siti?Nyumbuuuz wanafikiria waje kwa style ipi[emoji16]
Wengine wamewekwa kwenye mabegiKumeshuka watu 6 tu au ndiyo 200?
Hivi kweli vyombo vyetu ndiyo vimefikia huku ?Asante kwa taarifa hii, nashuhudia live mubashara hapa kuputia TBC.
P
Idadi ya watalii imepungua hivyo lazima wafanye propaganda mfuDu ukisikia kufilisika ndiyo huku. Awamu zote watalii wanakuja lakini awamu hii kuja kwa watalii imekuwa ni habari kubwa kabisa. Ukweli ni kwamba itachukuwa muda mrefu ili hali irudie kama zamani. Nchi kama Thailand zinazoongoza kwa utalii mpaka sasa hali siyo nzuri halafu waje huku ambako takwimu zinafichwa? Watalii 200 ni wachache sana na itachukuwa muda hali ya zamani kurudi.
Kwanini wasiwe wakweli tu ?Hahahha yaani wanatumia nguvu kubwa jamani. Hali itarudi normal kuanzia 2021 na hapo virus apotee au chanjo ya kinga ipatikane.
Kwa hiyo wewe unatakaje?Huo upumbavu mnaoushangilia unawafaa ninyi panyabuku wa lumumba! Yaani mnokosa aibu na hata Soni hamuoni! Hao watalii 200 waliingiaje kwenye ndege ya kubeba watu wasiozidi 170? Au wengine walisimama baada ya kukosa siti?
Jifunzeni kuusema uongo unaofanana na ukweli Basi eeh!
Walioshiuka hapo ni wazungu Saba tu, hao wengine wameshukia mlango wa kuchora wa kule kulia?
Huu uzwazwa mmaodhani watanzania wote wanao sio sawa Bali uzwazwa ni wa kakikundi la ccm kanachodhani kana akili kuliko wengine! Mmejichora kijinga mno!
Your grammar sucks..!I am the one of tourist landing today.
Tanzania is beautiful
Acha kujiumiza bure...bora utafute kazi nyingine ya kufanya uondoe stressSafari akagombee tu udiwani Chato ndo atawezapata hakuna mjinga atakubali kuumizwa 5yrs again
Unamfokea Nani? Kajambe mbele huko! Ati nataka Nini? Huoni hata aibu! Haya nataka uwe housegirl wangu! Upo tayari kuanza kazi usiku huu?Kwa hiyo wewe unatakaje?
Ingawa shetani huwa anajua kuwa Hana ubavu wa kupambana na Mungu Mwenyezi, cha ajabu huwa anajikakamua kutaka kujaribu udhaifu wake unaishia wapi, kaleta Corona kapambana na kichapo cha mbwa Koko kutoka Kwa Muumba, na sasa kapandikiza watu wanaopinga kumpa nguvu Uchwala eti Corona bado ipo tena Kwa kiwango cha juu,, mtapokea kichapo na Shetani pamojaKwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
Ni vyema ukathibitisha kauli zako.Kwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
Kutokana na situation ilivyo,hii ni habari kubwa tu. Nchi zilifunga anga, hivyo kuanza kupokea wageni lazima iwe habari. Nakuhakikishia tegemea kusikia habar za hivi kuanzia leo na kuendelea,kwamba "Nchi fulani imefungua anga na kupokea wageni kadhaa."Kwamba ndege kutua airport na wageni ni habari inayokuwa live? Kwenye TV ya umma. only in Tanzania.
Duh ..pole mwanangu...una umri gani...ulishawahi kuwaambia wazazi wako kwa maana ya baba na mama maneno uliyoandika hapa?! Kama bado ni vema ungeanza kuwaambia wao kwanza uone itakavyokuwa.....halafu, hivi kulikuwa na ulazima wa wewe kuandika hivyo?! Una mfadhaiko wa akili bila Shaka...Unamfokea Nani? Kajambe mbele huko! Ati nataka Nini? Huoni hata aibu! Haya nataka uwe housegirl wangu! Upo tayari kuanza kazi usiku huu?