Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Huu ni mwanzo lazima furaha iwepo,mlitaka wasije kabisa,bora hao 200 kuliko kukosa kabisa,uchawi sio mpaka mtu abebe tunguli,jitazameni kauli zetu

Endeleeni kusubiri taifa hili lifeli,mtasubiri sana.
Kwani ni kitu gani hii nchi iliwahi kufanikiwa? Mfano kwenye umasikini, maradhi na ujinga?
 
Only 6 out of 200 kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Hii ni habari tena kubwa tu kwa wadau wa utalii ukizingatia wengine ndo kwanza wanafungia watu ndani.

Tutegemee porojo kibao kutoka kwa washindani wa biashara hii na wale jamaa.
 
Mbona watalii ni wanne tu.... Duh au hiyo ndege ni ya mizigo? Dah ni aibu sana
 
Huo upumbavu mnaoushangilia unawafaa ninyi panyabuku wa lumumba! Yaani mnokosa aibu na hata Soni hamuoni! Hao watalii 200 waliingiaje kwenye ndege ya kubeba watu wasiozidi 170? Au wengine walisimama baada ya kukosa siti?
Jifunzeni kuusema uongo unaofanana na ukweli Basi eeh!
Walioshiuka hapo ni wazungu Saba tu, hao wengine wameshukia mlango wa kuchora wa kule kulia?
Huu uzwazwa mmaodhani watanzania wote wanao sio sawa Bali uzwazwa ni wa kakikundi la ccm kanachodhani kana akili kuliko wengine! Mmejichora kijinga mno!
Wape salaaaaaammmmm wana lumumba
 
CC😛ascal Mayalla
#AVIATION – Projected airport reopening dates across the world

World Airports opening dates [emoji927][emoji929][emoji928][emoji574]

1. Lebanon [emoji1146] July 15, 2020
2. Bahrain [emoji1041] June 10, 2020
3. Qatar [emoji1203] June 10, 2020
4. Jordan [emoji1137] July 15, 2020
5. Iraq [emoji1131] (Air Corridor) August 1, 2020
6. Iran [emoji1130] August 1
7. Egypt [emoji1093] August 1
8. Saudi Arabia [emoji1210] August 1, 2020
9. Tunisia [emoji1249] August 1
10. sweat Baghdad [emoji1131] first of August month
11. Japan [emoji627] June 15, 2020
12. Northern Macedonia [emoji1154] June 15, 2020
13. Lithuania [emoji1151] June 15, 2020
14. Hungary [emoji1126] June 15, 2020
15. Poland [emoji1200] June 15, 2020
16. Romania [emoji1205] June 15, 2020
17. Serbia [emoji1212] June 15, 2020
18. Netherlands [emoji1179] June 20, 2020
19. Kazakhstan [emoji1138] June 20, 2020
20. Albania [emoji1025] June 22, 2020
21. Bosnia and Herzegovina [emoji1051] June 22, 2020
22. Denmark [emoji1087] June 22, 2020
23. Estonia [emoji1097] June 22, 2020
24. Finland [emoji1103] June 22, 2020
25. South Korea [emoji2406] June 22, 2020
26. Ireland [emoji1132] June 22, 2020
27. Kyrgyzstan [emoji1143] June 22, 2020
28. Latvia [emoji1145] June 22, 2020
29. Norway [emoji1189] June 22, 2020
30. Slovakia [emoji1217] June 22, 2020
31. Australia [emoji1037] July 1, 2020
32. Belgium [emoji1045] July 1, 2020
33. Belarus [emoji1044] July 1, 2020
34. China [emoji630] (Beijing only) July 1, 2020
35. Sweden [emoji1236] July 1, 2020
36. Canada [emoji1063] July 1, 2020
37. Colombia [emoji1075] July 1, 2020
38. Kosovo [emoji1141] July 1, 2020
39. Malaysia [emoji1157] July 1, 2020
40. Moldova [emoji1168] July 1, 2020
41. Uzbekistan [emoji1260] July 1, 2020
42. Republic of Taiwan [emoji1239] July 1, 2020
43. Turkmenistan [emoji1251] July 1, 2020
44. Ukraine [emoji1255] July 1, 2020
45. Indonesia [emoji1129] July 10, 2020
46. India [emoji1128] July 10, 2020
47. Pakistan [emoji1191] July 10, 2020
48. Algeria [emoji1026] July 15, 2020
49. Morocco [emoji1173] July 15, 2020
50. Philippines [emoji1198] July 15, 2020
51. South Africa [emoji1221] July 15, 2020
52. Georgia [emoji1109] (only for Georgia City) July 15, 2020
53. UK [emoji636] July 15, 2020
55. Kuwait [emoji1142] July 15, 2020
56. Libya [emoji1149] July 15, 2020
57. Cyprus (Turkish side) June 1, 2020
58. Russia [emoji635] July 15, 2020
59. Bulgaria [emoji1058] June 10, 2020
60. Brazil [emoji1054] August 1
61. Armenia [emoji1034] August 1, 2020
62. France [emoji632] August 1
63. Greece [emoji1112] June 10, 2020
64. Germany [emoji629] June 15, 2020
65. Spain [emoji633] August 1
66. Italy [emoji634] August 1
67. Austria [emoji1038] June 15, 2020
68. Azerbaijan [emoji1039] June 15, 2020
69. Czech Republic [emoji1086] June 15, 2020
70. USA [emoji631] September 1, 20
71. Switzerland [emoji1237] June 15, 2020
72-UAE first flight to Beirut airport on 1 / 7
 
Ni kweli kama nchi tunahitaji watalii kwa maendeleo kwa ujumla ila tuache uongo wa kukuza vitu/propaganda za kitoto.
 
Kwa mustakabali na maslai mapana ya Taifa letu John Pombe Joseph Magufuli, haifai kupewa hata dakika moja, au nafasi nyingine ya kuongoza taifa letu, ametutia aibu Sana , ameturudisha nyuma Kama taifa kwa miaka zaida ya 10, hasara aliyotupa wajukuu zetu hawataweza kulipa
Una kichaa cha mbwa wewe
 
Hivi unajuaje maambukizi yamepungua wakati hakuna strategy yoyote ya upimaji.. mfano tungekuwa tunapima watu 100 kwa siku ila kila tunapopima idadi ya waliopostive inapungua, apo tungesema maambukizi yamepingua.


Ila tofaut na ivyo ni uongo wa kijinga sana.
 
Ukitaka kujua kuhusu umaskini wao pendekeza "Lockdown"
Sina ndugu,rafiki wala jirani ambaye amaekufa kwa corona hata kuona mpita njia kaanguka bado,pia nimeuliza ndugu jamaa na marafiki zaidi ya 9,nao pia hawajaona,sasa hebu nipe sababu ya kupendekeza lockdown?
 
Sio ATCL?
Mbona tuliambiwa tunanunua madege ili watalii wetu wasipitie Kenya maana wanabakiaga huko.
.
Na aim yetu ni kufikisha watalii 10 million woiii 😥
Kichwa chako kigumu sana
 
Back
Top Bottom