Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Wametumia Ethiopia airline
Sio ATCL?
Mbona tuliambiwa tunanunua madege ili watalii wetu wasipitie Kenya maana wanabakiaga huko.
.
Na aim yetu ni kufikisha watalii 10 million woiii 😥
 
Nimekuelewa bwashee!
 
 
Hawana aibu alafu sijui wanamdanganya nani?
Hakyamungu nimepost bila kusoma hii post yako kumbe nawewe umekna Kama Mimi ? Mimi nimeona abiria sita tu au hii ni promo ya kuwaumiza wakenya? Sidhani Kama ita work halafu Bora msingeonyesha hii aibu.
 
Hahahha yaani wanatumia nguvu kubwa jamani. Hali itarudi normal kuanzia 2021 na hapo virus apotee au chanjo ya kinga ipatikane.
 
Punguza kulala kiongozi
 
acha wivu wa kike
 

Kwann usitafute nchi unayo hisi wew itakufaa ukaishi?
 
Yeyeto lkn si yeye again,tutavuna mabua, ameumiza Makundi yote ktk Jamii,ametumia 5yrs kupambana na watu badala ya kupambana na umasikini wetu
Mbaya zaidi wote wenye mawazo tofauti na yeye au gvt wanaitwa wasaliti sio wazalendo vibaraka wa mabeberu ameligawa taifa kwelikweli sio uongo.nchi yetu sote lakini eti wengine wanageuka wasaliti kisa hawakubaliani na vipaumbele yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…