Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Nimeona watu sita tu huyo mzungu aliepiga picha aliposimama akachukua video alikuwa wa nne jamani mungu anawaona Yani dude la watu 200+ limebeba watu sita halafu mnatupotezea muda au mmelipia empty siti kwa madhumuni ya promo? Mizigo inayopigwa dawa ni ya kubeba kea kirikuu.
 
Tuwe waangalifu kushangilia sana ujio wa hawa watalii; ingawa tumejiaminisha kuwa tumeithibiti corona inawezekana kabisa kuwa hawa hawa tunaowaita watalii wakatuletea madhara kwa kutuletea maradhi zaidi na sio corona tu bali virusi vingine wanavyovitengeneza kwenye maabara zao. Tusiwaamini sana hasa wazungu na machina hawatutakii mema waafrika!!
 
Hadi mtangazaji ana-space out akiangalia kushoto na kulia haoni watalii wakishuka kumbe ni abiria wasiozidi kumi na wazungu wawili -Mr&Mrs.

I love my country
 
Duh sasa mbona wameshuka abiria kama 7 tu kwenye ndege yenye kubeba abiria takriban 170...
Hakyamungu nimepost bila kusoma hii post yako kumbe nawewe umekna Kama Mimi ? Mimi nimeona abiria sita tu au hii ni promo ya kuwaumiza wakenya? Sidhani Kama ita work halafu Bora msingeonyesha hii aibu.
 
Back
Top Bottom