USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Chadema wanashangaa maana walileta uzi kuwa watalii wameshindwa kuja Sasa wanaona aibu
Dk Mollel ni Jembe. Ndio maana Chadema wanamchukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dk Mollel ni Jembe. Ndio maana Chadema wanamchukia.
watalii wawili ndiyo kundi?
Mzungu mwenyewe kakubali hajavaa barakoa.Wenzetu Wana means zao za ku verify hawategemei zinazotolewa na wanasiasa wa upinzani .Hapo washajihakikishia independently kuwa Tanzania Ni safe imeishinda coronaYes hii inaonesha dhahir kua TANZANIA watu wameelewa kuwa tumeishinda Corona
We ndio mjinga uko nje unapiga kilakitu huku serkali inafanya kazi mnataka nini tenaHii serikali inafanya vitu vya kijinga hadi vinatia hasira. Molel na kigwala wote ni madoctor ila ujinga wanaofanya ni sawa na wagonjwa wa milembe.
Apo cost iliyotumika kupokea watalii wawili ni mara 100 ya posa watakayotuachia hapa nchini
Mataga wengi ukiwafuatilia kwa karibu sana ni mataahira wa kawaida kabisa.
Hakuna asiyejua kuwa utalii ni chanzo cha mapato. Lakini mawaziri wawili tena wanaume waliokamilika kabisa wanachoma fedha za umma kwenda kujichekesha kwa wazungu wawili? Si ajabu hata ukute hao wazungu wamewaleta wao ili kuwakoga wakosoaji wa mitandaoni.
Mdogo mdogo tu tutaelewana
Kuna mahali nilisikia kuwa hao jamaa ni wagonjwa wa akili.Hii serikali inafanya vitu vya kijinga hadi vinatia hasira. Molel na kigwala wote ni madoctor ila ujinga wanaofanya ni sawa na wagonjwa wa milembe.
Nasubiri mwisho wa yote haya utakuwaje.Hivi huu ujinga wa sasa hivi wanaccm walikuwa nao, ila akakosekana kiongozi wa kufanya huo ujinga uonekane, au huu ujinga ndio umeanza sasa?
Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.
Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.
Big up bro.View attachment 1466999
Watalii wameichagua Tanzania
Serikali makini inayoacha alama
hii kali, watalii wa2 ndio hadi jamaa kaambatana na naibu wake...hii awamu kwa misifa haijapata kutokea!.
Wewe umeongeza chumvi, sio watalii wawili ni mtalii mmoja tu.
ain't two tourists but just one.
tusikilizie tu mkuu.Inaonekana unamengi sana mkuu...