Ndege za ATCL na huduma ya Kahawa

Ushauri mzuri
But u can get ur own mug of coffee at home though and drink on ur way to the airport
So u have a pleasant flight later
 
Niliposema one time taste si km ur not a frequent flier
But heyy u can have a cup at home or later at the office or elsewhere
I dont know maybe cuz m not a foodie💅🏽
I always take away hata korosho zinanipa gesi nawapa wengine wale
 
Mkuu nilibahatika kupata sijui ilikuwa safari hizi za makopo mbili na hapo counter ya airport nasubiria ndege nilipata via Tatu safari eebhana nilikojoa mara kibao humo kwa ndege daah sio kawaida kabisa Dsm-Kia and return
 
umepimaje kuwa kahawa ina ubora wa chini?
 
Kahawa ya kijiwe cha mchikichini inatosha. Unapanda ndege bei kubwa alafu una-mind kahawa ya shilingi 20 kikombe!
Ndo maana nasema hongeren kwa kupanda mwewe ! Sisi tunaziona kwa mbaali! Ila kuna lile linapiga mwano likikaribia kutua! Nadhan hyo gahawa chungu kama ya kwa hangwa kisesa inapatikana humo
 
Nimeongea nao hivi punde wanasema kama bas hamjapenda gahawa yao wataanza kupika na kuhudumia al kasusu ya asali au maziwa! Manina zenu mnaenda kusafiri au kunywa gahawa?
 

Nakubali hoja yako
Alafu kuna siku hata wine hawana wa hovyo hawa nikawaambia wekeni kibuku! Au siku ingine wana juice za azam tu hovyo kabisa ! Sijui wakoje hawa
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Ukitaka ule ushibe,unywe ulewe kupande EMIRATES utainjoi kufa ATCL ni domestic flights huwezi pata vitu classic
Duration ya flight izingatiwe jmn
Regardless of the Airline

Mtu one hour flight anataka awe impressed wee

And coffee maybe they keep it light to suit everyone
Si kila mtu apenda strong coffee

Flights za masaa mengi kweli ht muda wa kuomba ukoleze coffee upo
 
Ukitaka ule ushibe,unywe ulewe kupande EMIRATES utainjoi kufa ATCL ni domestic flights huwezi pata vitu classic
ATCL wana flights nje ya nchi pia
Ila itoshe kusema ni mauza uza
Kuleni nyumbani to enjoy ur flight

Long hauls zaidi ya masaa 5 choose Emirates ama shirika lingine tu
 
Uliwahi panda precision air? Huduma zao zinatofauti gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…