Mijitu mingine kutumia akili kidogo tu shida, kuna ndege itaingia nchini bila kupata ruhusa na mamlaka. Halafu unaibiwa nini Simba? Fisi au Sungura mbona tunatafuta soko la bidhaa kwenda nje tupate pesa sasa shida iko wapi kama wanauza wanyama kama wako wengi shida iko wapi.Mnaibiwa kitu gani?
Mbona hata Ndege yenyewe haionekani vizuri ili kujua ni Ndege ya wapi?
Ina maana pia hiyo Ndege imetua ndani ya nchi bila mamlaka husika kujua hilo?
Kabisa hawajui wale Dubai parking fees za magari kama za huku za kwetu makusanyo yao kama budget yetu ya miaka miwili sasa atuibie nini sisi? sema wamenunua sio kuibaSio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....
Hiyo narration kuwa Samia anawapendelea waarabu ni ya kipumbavu sana ...kama waarabu hawafai mngemwambia Magufuli awatimue au Mkapa awatimue ..
Samia kawakuta hao wawekezaji WA kiarabu wapo kisheria ..
Na Samia akimaliza mda wake akija Rais mwingine mkristo hata midege itue 100 huko mbugani mtanyamaza kimyaa Kwa unafiki wenu
Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
yeye mbona ameshuhudia na kurekodi hilo tukio kama ilikuwa ni la kinyemela?Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
stupidity at its highest levelWaisiharamu mkisikia muarabu ana semwa vibaya tu mnaumia moyo kwa sababu kwenu muisiharamu ni mungu kabisa
huyo ameandika kwa inda na ujinga wakeSasa mtu kama wewe hata kuandika lugha yako tu kwa ufasaha huwezi,utaweza kujadili vitu vinavyohitaji akili na maarifa ya utambuzi?
Huu muda unaoutumia kutapika hapa ni vizuri ukautumia kujifundisha kuandika lugha yako kwa ufasaha.
Ulienda kuomba kibali wizara ya viwanda wakakwambia "Hadi uwe mwarabu "ndo tunakupa kibali?Ila kiukweli kuna kaupendeleo ka waarabu awamu hii.
Hata uingizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi awamu hii ni hao hao waarabu, sera ya kulinda viwanda vidogo vidogo vya alizet vya wazawa imewekwa kapuni.
Hakuna tena protectinism, wakulima wazawa wapate taabu kwa bei ya alizet yao kuporomoka kwa faida ya waarabu!.
Halafu yupo yule mmarekani mwenye lodge yake hataki hata watz wakanyage pale na aliwahi kuwatimua hata ile kamati ya bunge, amegombana na kulalamika na wamiliki wa kila upande wa eneo lake na aliwahi hata kutaka kuweka airstrip huko mbugani. Lakini watu humu kimyaa, leo wanaona ndege imeshuka tu hata hawaijui inatokea wapi basi tayari imekuwa ya kuiba wanyama.Sio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....
Hakuna mtu aliyetolewa loliondo. Wacha uwongoLakini Samia kawatimua wamasai pale Loliondo
Lazima watu wawe namashaka sababu tendo lile linazua mashaka.
God left Africa a long time agoMungu uilinde nchi hii.
Mnaoleta mada za aina hii kitu ambacho mnakosea kwa makusudi au hamkijui ni ukweli kuwa Tanzania ya sasa yote inamulikwa na rada nne zilizowekwa kimkakati katika kona nne.Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
The Axis Of EvilsMimi nimeiamini serikali kuwa wamasai wanafanya uharibifu wa mazingira...Hadi hapo kutakapo jitokeza habari zingine za uhakika ndo ntawahukumu tofauti..sitaki kuihukumu serikali Kwa kuhisi au kusikia habari ambazo hazina ukweli
Kama unajua ni uongo. Tuambie basi hiyo ndege inafanya nini huko.Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?
Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?
Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
Iweje hapa hiyo ndege uliyoiona wewe ilibeba hao wanyama,Kama unajua ni uongo. Tuambie basi hiyo ndege inafanya nini huko.
Iko TwitterUmbea katika kiwango chake, hata kuwadadisi hao waliopiga picha mkakosa huo muda. Ukijihisi unaonewa kila wakati hata kujiamini inakuwa ngumu sana. TUWAWAZIE NA MEMA VIONGOZI WETU.
Ni mfanyakazi wa huko pori tengefuWewe debe tupu acha kuvamia usiyoyajua,umeelewa hata maswali yangu? Maswali yangu yamemlenga mleta mada kwa mujibu wa heading na content ya thd yake.