Kilichofanya Hama's kuivamia Israel oktoba 7 ni katika msululu uleule wa waarabu kulipa visasi ni kama vile Iran walivyolipa kisasi kwa kuishambulia Israel kwa ndege 300 bada ya Israel kupiga ubalozi wa Iran na kuwaua makamanda wa Iran nchini Syria kitendo ambacho kilitafusiliwa na Iran kuwa ni sawa na kuishambulia nchi ya Iran.
Muda ni wakati wowote kuanza sasa na ndio maana Israel anajuwa Iran ni mwanamme wake, mpaka leo ameshindwa pamoja na kiburi chake chote kulipa yale mashambuliz ya hivi karibuni aliyoshushiwa Tel aviv