ha ha ha mkuu to be honesty hawawezi sema wanandege aina gani na kiasi gani huwaga inakuwa ni siri na pia unaponunua vifaa vya kivita kuna kitu kinaitwa "military balance" kati yako na majirani zako.military balance huwa inapangwa na wakubwa(usa,uk,russia,china,nk..)ndio maana huwezi kukuta mmarekani kamuuzia mkenya zile ndege kali za kivita mfano F 22 RAPTOR,F35,B52 NK vivyo hivyo kwa mrusi kuuza kwetu Mig 35,sukhoi 35,TU 160 supersonic bomber,mchina na wengine pia au hata RADAR za kisasa,vifaru na vifaa vingine vya kisasa hawataki kutubua military balance ya eneo kuepuka mashindano ya silaha ndio maana nchi za kiarabu(iran,syria nk) zinauziwa silaha kali za kivita na mrusi ili ku counter silaha ambazo mmarekani anauza kwa israel kuleta military balance of power ,the same kwa ukanda wa asia kati ya india na pakstani , then china,korea kaskazin vs japan,korea kusini na taiwan leo hii dictator museveni au kagame wawe na hayo madege yasiyoonekana kwenye radar tutapona na radar yetu ya akina CHENGE inayoishia chalinze,wawe na mabalistic missiles wawe na air defence system kama s400 siku kichaa kikiwapanda tutakwisha huku .
The same kwetu huku na wanasiasa wetu vilaza kama akina nape,mwigulu sijui membe,na wengine vilaza you name them siku washike madaraka nyeti wanaweza tumia hizo silaha kupigia ukawa au hata sehem yoyote ilimradi washinde uchaguzi so mkuu hivyo videge unavyovionaga vinapitapita kipindi cha sherehe vinatutosha kutokana na akili zetu zilivyo wazungu wanaakili sana mkuu sio kama sisi mamburura
View attachment 217607View attachment 217608View attachment 217609View attachment 217610View attachment 217612View attachment 217614View attachment 217616View attachment 217617View attachment 217621View attachment 217622View attachment 217622View attachment 217623View attachment 217630View attachment 217629View attachment 217632View attachment 217634View attachment 217636View attachment 217622View attachment 217638View attachment 217640