Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona

Nchi zote mbili zinategemeana na nitakupa mfano. Kenya wanaitegemea Tanzania kwa abiria wake kusafiri na KQ kutokea JKNIA hadi Nairobi na hatimaye kuunganisha kwenda wanakotaka pia Tanzania inaitegemea Kenya kwa kukuza mapato pale ambapo ndege zake zinapotua katika viwanja vyake.

Ila kwa ishu ya Corona ilivyochukuliwa Tanzania sitashangaa kuona tunapigwa ban zaidi na kuathirika pakubwa. Nadhani ulisoma pia tangazo la nchi ya Dubai kuhusu watanzania wanaotaka kuingia huko kuanzia kesho. Kenya ingetaka kufanya usanii kama sisi wala wasingeshindwa ila walijiangalia hasa kwenye mambo ya usafiri wao wa anga na utalii ikabidi wawe wazi ili hata itakapoanza kupungua Corona then takwimu ziwe za wazi pia.

Sisi ni kama tulichekesha tena kichekesho cha kitoto pale ambapo usiku mmoja tulikuwa na cases zaidi ya 500 na vifo 16 halafu ghafla hakuna tena kitu au tangazo lenye data zilizothibitishwa kutoka wizarani! Hicho ni kichekesho tena cha aina yake mkuu.
 
Yaani mtu mwenye umri mkubwa kama mzee mkapa leo hii inakuwa ajabu kufariki,basi itakuwa ni corona tu.

Huu wimbo umekosa radha hata hao viongozi wenu wameamua kuachana nao,nyumbu bado mnaimba tu.

Nini kilichomuua? Kama sio COVID 19
 

Naona maelezo mengi sana lakini content ni ndogo. Hiyo Jomo inakuwa maarufu sababu ya KQ. Ndege zinafanya hiyo collabo unayosema. Sasa TZ ikaizuia KQ kufika bongo sababu ya corona nani ataumia zaidi? Ishu hapa ni uamuzi kenya iliyochukua na athari zake katika sekta ya anga.

Nani anamtegemea mwenzake sana katika biashara ya anga kati ya ke na TZ
 

Tutapigwa ban na nani wakati watalii wanakuja bongo hapa? KQ kwa block hii ya EA inabebwa na route za Tz. Hivyo wao ndio wanatutegemea sisi zaidi.
 
Katika kutumia common sense sasa ndio useme hali ya ugonjwa iko vipi hapa nchini. Yani watu wana ambiwa wakaugulie nyumbani? Hizo oksijeni wanafungiwa huko nyumbani?

Kuwa serious mkuu, unaielewa covid mziki wake vizuri kweli?
Oksijeni zipi?! Hivi una habari hata wakati tunatangaza new cases kulikuwa na uhaba mkubwa sana wa ventilators! Hivi hufahamu mlivyoambiwa mpige nyungu ile ni alternative to ventilators kwa sababu inasaidia kuzibua njia za hewa na hivyo kumfanya mtu aweze kuhema vizuri?!

Na kama hujui kwamba wagonjwa wanaambiwa wakaugulie home basi inaonesha wazi you have no idea about what's going on!!!
 
Tutapigwa ban na nani wakati watalii wanakuja bongo hapa? KQ kwa block hii ya EA inabebwa na route za Tz. Hivyo wao ndio wanatutegemea sisi zaidi.
Hao watalii umewaona wapi mkuu? Hayo matangazo unayosikia ungeona uhalisia wake pengine ungefunguka akili.
 
Usiwe mpumbavu! Yani Mkapa afe kwa corona alafu system iruhusu viongozi wakuu wakae kihasara namna ile ikiwemo kumkumbatia mjane?

Hiyo system ndiyo iliyoruhusu kongamano lenu kule dodoma ambako milikopakalia hilo dude la kusababisha tatizo la upumuaji
 
Kampuni yao kubwa sio kama hizi daladala zetu ambazo hazifikii idadi ya ndege alizokuwa amenunua Idd Amin Dada miaka ya 1970 huko Uganda.
 

Kwa hiyo kupiga nyungu ndio kumekomesha corona na kufanya watu wasilazwe kwa kushindwa kupumua sio? Hao wagonjwa wanaenda kuugulia nyumbani wakiwa katika stage gani sasa? Wewe binafsi umeshuhudia hayo? Ni wapi huko wanasema watu wakaugulie nyumbani mkuu? hii ni mpya kwangu.
 
Nini kilichomuua? Kama sio COVID 19
We jamaa ni MPUMBAVU SANA. Na system ikiwa inajua ni COVID19 wakaruhusu mtu Kama JK akae na Mkapa zaidi ya saa 1 wakiongea siku 1 kabla hajafa!?, Unatumia akili kufikiri?, mkiwa mnasikia uzushi muwe mnajiongeza sio mnafata mkumbo tu. Mkapa na amekufa na miaka 82 na zaidi ya nusu ya maisha yake amekuwa overweight akiishi maisha ya kifahari ya kula chochote anachopenda.Aliwahi kuugua gaut bado unaleta uzushi wa COVID19??,. Sometimes bora kukaa kimya kama huna information za uhakika.
 
Hao watalii umewaona wapi mkuu? Hayo matangazo unayosikia ungeona uhalisia wake pengine ungefunguka akili.

Nimewaona wakutosha mkuu, na hata hapa nilipo sasa nipo nao. Hata Vijiweni saivi hakuna tena vikao watu wako busy mlimani na porini huko. Wale wa mahotelini wamesharudi makazini.
 
Nimewaona wakutosha mkuu, na hata hapa nilipo sasa nipo nao. Hata Vijiweni saivi hakuna tena vikao watu wako busy mlimani na porini huko. Wale wa mahotelini wamesharudi makazini.
Duh labda wanakuja kwa mitumbwi. Haya bana
 

Wangetokea kutupigia debe kuwa Tanzania is a Corona free country mngeshangilia sana na kuona hiyo ndiyo sawa haswa?

Kwani kwa kuukimbia ukweli au kuuficha ugonjwa huu kutasaidia au kumesaidia nini kutuepusha nao?

Tunamwona Kenya tu? Yuko wapi aliyestufia au hata kutambua tu jitihada zetu hizo kwenye kupambana na huu ugonjwa?

Yuko wapi hata mmoja anayepiga nyungu kama sisi kwamba tumemvutia?

Kwamba mchawi ni Kenya? Tusitafute visingizio, mchawi anafahamika, anajijua na yuko baina yetu.

Mengine haya ni kelele za vyura tu.
 
Kwani lazima twende Kenya kwa ndege, njia za panya zipo
 
Look at you! Eti Jomo Kenyatta ni maarufu kwa sababu ya KQ!! Sasa unatarajia JNIA imeipiku Jomo Kenyatta kwa sababu zipi?! Kwa ile dreamliner moja, au?!

Again, kwahiyo kama ndege mathalani ina direct route from Heathrow Airport to Jomo Kenyatta, hivi sasa itafuta hiyo route kwa sababu KQ zimepigwa ban kutua Tanzania?!

Kuhusu nani ataumia zaidi, whether you like it or not TZ ndo wataumia coz' Watalii wengi wataishia KE coz' KE kuna Tour Agents wengi zaidi compared to TZ, na wao wataongea lugha nyepesi tu: The COVID-19 Status in Tanzania is unknown kwa sababu serikali inaficha takwimu!!

Watalii wenyewe wakijaribu ku-verify kuhusu COVID-19 watakuta no data since May!!! So, unless kama mnadhani Watalii ni wajinga wa kuamini TZ hakuna COVID-19 kwa sababu mlifanya maombi na kupiga nyungu, then YES, Wataunga unga ndege hadi TZ bila kupitia KE!
 

Unajua tatizo la upumuaji linavyoattack wazee? Alafu nimekubali mimi kwako kuwa mpumbavu sababu hunijui. COVID 19 mliipakaa kule Dodoma kwenye kongamano lenu mnaloliita uchaguzi kama mlivyopakaa kipindi cha kuzindua TBC ARIDHIO. Kuna siku mtajua kuwa tu hamjui na mtatukuta huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…