Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Hivi serikali kwanini inaendele kutoa ajira kwa watu hovyo kama hawa. Yaani hata airport ya Kia parking lot wameshindwa kutengenezaza. Hawa wakuu wa mashirika ni ulaji tu kwenda mbele.
 
taa zimeangaza kwa manjonjo yote ? hahahaaaa
 
Kwa Precision Air tulitaarifiwa kuwa ndege ingechelewa kuondoka KIA kuelekea Mwanza..

... baadae nikapigiwa simu kwa mabadiliko mengine na tulipofika Uwanjani tukapewa taarifa kwa mabadiliko mengine tena na kuambiwa tatizo la taa lililotokea usiku...na hivyo tungeondoka saa nane...

.. lakini tulipokuwa sehemu ya kusubiria, tukapewa taaraifa na kuombwa radhi kwa sababu ya mabadiliko mengine zaidi.....na abiria wote wakapatiwa lunch bure, ilipofika saa tisa tukaondoka kuelekea Mwanza.

Ingawa tulichelewa angalao Precision walijitahidi kutupa updates na kutujali kwa lunch.
 
Wataalam mtusaidie why iende Jinja huko Entebe, sio wanatazama nearby airport?!
Nilidhania Nairobi au Unguja au Nyerere Dar!!!
 
NA JANA TENA LIMESHINDWA KUTUA HII NI AIBU NA BADO KUNA MAJITU, YANA ROL V8 HUKU YANAPANGUSA I PHONE 14 KWENYE KITAMBI AMBACHO KIMEFUNIKWA NA SUTI MARIDADI KUTOKA ITALY. Mungu tunusuru na hizi aibu.
 
NA JANA TENA LIMESHINDWA KUTUA HII NI AIBU NA BADO KUNA MAJITU, YANA ROL V8 HUKU YANAPANGUSA I PHONE 14 KWENYE KITAMBI AMBACHO KIMEFUNIKWA NA SUTI MARIDADI KUTOKA ITALY. Mungu tunusuru na hizi aibu.
Dodoma Sasa Zinatua Usiku
 
RAIS ANAJITAHIDI MNO, WASAIDIZI WAKE NAO WANAMSAIDIA KWA NAMNA YA KIPEKEE, HAO WASAIDIZI WAKE WADUMU WADUMU WADUMU ZAIDI NA ZAIDI MAOFISINI.
 
Watanzania siku hizi wanachat kimalkia😁😁😁😁
 
Hii ni aibu kubwa sana Kwa taifa lililo Uchumi wa kati.
Tanesco walizingua,Je hamna generators.?
NB..Hali ya hewa imesingiziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…