Kiongozi kwani imekuwaje tena? kuna mahai nimekuharibia timing? am sore, lakini unapaswa kuniambiaga mapema nisikuharibie, si umeona babu kila nikigusa anga zake anatoa warning.
Bana bana....ngoja nikuweke kwenye list ya wahatarishi wa taimingi zangu......utakuwa unapata auto warning...
babu ulikuwa umelala wapi mchana huu?
Babu is SO SO SO VERY HAPPY. Sogea hapa mjukuu nikushum!
Mwarubaini gesti hausi, floor ya kwanza rumu namba 112.
To: fellow tablet aspirin
RE: maongezeko ya mauzo hapa pharmacy
dear sir.
with a great hope i hope you are well and your faza, maza and wote waliobakia.
the aim of zis leta ni kukujulisha kwamba tangu lianzishwe hili sredi basi mauzo ya aspirin yameongezeka sana hapa pharmacy
senkyu in advanz
your fellow tablet
klorokwini
...........................
signecha ya dole gumba.
baada ya barua hii stokuwepo hewani,
nasogea lkn ukinishum unipe na chakula
Babu naomba uende sehemu kuna Topic yenye tuhuma nzito kuhusu wanaume wa JF nasaha zako zinahitajika
To: fellow tablet aspirin
RE: maongezeko ya mauzo hapa pharmacy
dear sir.
with a great hope i hope you are well and your faza, maza and wote waliobakia.
the aim of zis leta ni kukujulisha kwamba tangu lianzishwe hili sredi basi mauzo ya aspirin yameongezeka sana hapa pharmacy
senkyu in advanz
your fellow tablet
klorokwini
...........................
signecha ya dole gumba.
baada ya barua hii stokuwepo hewani,
Chakula cha usiku ki tayari mezani kwa babu, njoo tushirikiane katika kula.
mh!hicho chakula hicho!!!!!naoana kule mahala unaogopa kuharibu lunch yako lol
Hebu ngoja nikakunuse kidogo. Nikipiga chafya narudi kulala moja kwa moja.
chafya lazma upige ila usipate flue tu
Nimeshindwa kuchangia crap ile. Wizi na upuuzi mtupu!
Nimeshindwa kuchangia crap ile. Wizi na upuuzi mtupu!
umerudi ee?
mugumu,fort ikoma mpaka rubanda,,lol still on mission
umerudi ee?