Ndg Asprin

Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol

Ahsante my love loveness love.

Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
ha haaaaaaaaaaaa, wivu sina roho inauma sanaaaaaaaaaa......................
 
we acha tu rafiki......................... sijui nitadumu kwa muda gani!

Usijali, kwa maombi yako na yangu, utadumu mpaka pale Malaika Gabriel atakapotoa kibali kwamba sasa waweza kurudi kwa baba, kwa kuwa hakika umefikisha muda ule uliopangiwa. Sema AMEN!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…